Maisha halisi ya Watanzania waishio hapa Afrika Kusini

Maisha halisi ya Watanzania waishio hapa Afrika Kusini

Hii habari ya kuuliza uliza utaleta noma. Nakumbuka kipindi cha nyuma jamaa alieliezea maisha ya miji mbali mbali ya USA, akaulizwa vipi Development, akasema pale development nimekaa miezi 3.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hii habari ya kuuliza uliza utaleta noma. Nakumbuka kipindi cha nyuma jamaa alieliezea maisha ya miji mbali mbali ya USA, akaulizwa vipi Development, akasema pale development nimekaa miezi 3.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
U
Boss! huu uzi sitoi kiki kama uzi ule, so km leo unatafuta exposure kupitia mimi bora ulale tu ndugu yangu.

Cheers!
ukwamba ukinijibu uliwezaje kusoma gas na mafuta ambayo ni course mpya mpya UDSM kisha uwe South unasoma mimi nitakuwa nimepata kiki?
Wewe ,barafu na Mayalla ni moja ya watu ninaowakubali sana kwa uwasilishaji bora ila hujanijibu kiungwana.
 
U

ukwamba ukinijibu uliwezaje kusoma gas na mafuta ambayo ni course mpya mpya UDSM kisha uwe South unasoma mimi nitakuwa nimepata kiki?
Wewe ,barafu na Mayalla ni moja ya watu ninaowakubali sana kwa uwasilishaji bora ila hujanijibu kiungwana.
Mkuu samahani km nimekukwaza hapo awali, soma vzr comment yako - imekaa kama sarcasm (kejeli), so I was safeguarding myself.

Km hilo ndio swali lako basi nikujibu kwa ufupi. Nimemaliza Petroleum Chemistry, UDSM mwaka jana. Na sisi ndio tulikua watu 22 wa kwanza East Africa kusoma hiyo makitu. Sijawahi kusoma South Afr, wala sifikirii kurudi darasani milele.

Sharp sharp boss!!
Mkuu UDSM umeshamaliza ile course ya mafuta na gas? Na vipi zile milioni 19 ulizotengeneza kwa siku 35? Hujafika bilioni?

By the way,story nzuri yenye mafunzo.
 
Hahaha hatari sana wachache sana tuliobarikiwa kuutazama na kuuelewa vema mpira wa miguu ndo tunaweza kumjua huyo mtu na kumuelewa, hawa kizazi cha kina Dan Alves na Macelo hawawezi kutuelewa.

BTW mkuu heri njaa ya nyumbani kuliko ugenini, na mimi ni muumini mzuri tu wa wahenga na niliwaelewa sana waliposema "zimwi likujualo halikuli likakwisha"

Mkuu, "EAST OR WEST, HOME IS THE BEST"

Hawa kizazi cha Leo hii hata Roberto Carlos walimjulia kwenye sticker za jojo sababu ya umaarufu wake. Kweli zamani tulifaidi sana.

Hayo maneno ya wahenga ni kweli likujualo halikumalizi ila likiamua kukutesa uvumilivu utakushinda na hatimae utakilimbia... Kwa hiyo mkuu tuendelee kuisoma tu hapa kwenye nchi yenye bikira ya uchumi bila kufanya extra trial yoyote!?

Nina rafiki/brother kutoka Mbeya yupo hapo Gauteng ni mwalimu mwa Nursery school, ila mshaara wake ni sawa na anaochukua CEO wa TANESCO. Na sio yeye tu kuna modelling designers ambao wako well off.

Ninachoweza kukwambia ni kuwa "EXPERIENCE IS A BEST TEACHER"
 
Stippers ninao wakubali ni wale wa the summit,wengine wote tupa kule! Wabongo waliotusua wapo kibao pia ila ni wale wenye shughuli rasmi zinazofahamika.
 
Stippers ninao wakubali ni wale wa the summit,wengine wote tupa kule! Wabongo waliotusua wapo kibao pia ila ni wale wenye shughuli rasmi zinazofahamika.
Swadaktaaaa
 
KATIKA HILI HAKUTUTENDEA HAKI HUYU MHESHIMIWA, ALIYO YA ZUNGUMZA MENGI NI SAHIHI ILA SI KWAMBA WOTE TULIO HAPA TUPO HIVYO INAWEZA LIKAWA NI KOSA LA MWENYEJI WAKO AU NI MAKUSUDI TU! 0733318248 TUWASILIANE UJE NYUMBANI TAFADHALI.
Itabid nifanye mchakato nije nikusalimie
 
HATA BONGO WAPO
Mi nampongeza sana mtoa mada. Nafikiri ni muandishi. Na nimuandishi mzuri kwa kweli.
Ameeleza kwa ufasaha sana Yale aliyoyaona. Na amejitahid kuyapigia rangi inayompendeza. Lakin kamlipia mtu hotel ambae aliachwa hotel na mtu asiejulikana (kama kweli) mtanzania alieachwa kwenye mataa hotel, simkazi wa afrika kusini. Ni mtu alietumwa Afrika kusini akaachwa solemba. Je mtu aliemtuma kutoka bongo hakumpa japo pesa kidogo ya kijikwimu? Shida imeanzia bongo.
Mana nadhani kama aliondoka bila kuchukua walau nusu ya malipo yake ya kazi yake kazi ipo hapo. Sijui kama Hilo lina uhusiano wowote na maisha ya south Africa au ni tabia tu ya hao watu alofanya nao biahara.
Kisha akaenda mjini. Cbd. Kama nimesoma vizuri akaona vibaka wa ndole. Tena mateja. Je ndo utapima maisha ya watanzania wanaoishi Afrika kusini kwa kiwaangalia hao.
Alienda kunyoa. Akaona vinyozi na baadhi ya watanzania wasio na kazi wamekaa hapo. Je ni maisha ya watanzania wote afrika kusini.
Maisha yote uliyafanikiwa kuyaona Afrika kisini. HATA bongo yapo. Wapo watanzania wanaoishi maisha hayo ndani ya Tanzania. Ila si maisha ya watanzania wote.
Maisha ya watanzania ndani ya afrika kusini hayana tofauti maisha ya watanzania ndani ya Tanzania. Wapo wanaoishi vizuri sana. Wapo wanaoishi maisha ya kati. Wapo wanaoishi maisha ya kawaida. Wapo wanaoishi maisha dhalili sana. Na aina yote hii ya watu, Hata bongo wapo. Nimesema.
 
Hawa kizazi cha Leo hii hata Roberto Carlos walimjulia kwenye sticker za jojo sababu ya umaarufu wake. Kweli zamani tulifaidi sana.

Hayo maneno ya wahenga ni kweli likujualo halikumalizi ila likiamua kukutesa uvumilivu utakushinda na hatimae utakilimbia... Kwa hiyo mkuu tuendelee kuisoma tu hapa kwenye nchi yenye bikira ya uchumi bila kufanya extra trial yoyote!?

Nina rafiki/brother kutoka Mbeya yupo hapo Gauteng ni mwalimu mwa Nursery school, ila mshaara wake ni sawa na anaochukua CEO wa TANESCO. Na sio yeye tu kuna modelling designers ambao wako well off.

Ninachoweza kukwambia ni kuwa "EXPERIENCE IS A BEST TEACHER"
Unanikumbusha mbali sana mkuu enzi za kubandika stick za wachezaji kwenye madaftari yaliyoisha. Bring back those days of golden goal. I still have image ya David Trezeguet anawatungua wataliano Euro 2000. Dammmnn!! where are those days!!!


Well said mkuu, huyo mwalimu is a good reference kwa wale waliosoma na kutaka kwenda abroad kutafuta maisha. Lakini mbaya zaidi ndugu zetu hawa ambao hawana hata vyeti feki, wanapofika huko ndiyo haya anayoyaelezea mtoa mada. Wengi wanaenda wakiwa hawana dira, no money in their pockets, they just depend on lucky and at the end of the day wanakuwa "screwed up".

"If you don't know where you go, no way can take you there"
 
Hii habari ya kuuliza uliza utaleta noma. Nakumbuka kipindi cha nyuma jamaa alieliezea maisha ya miji mbali mbali ya USA, akaulizwa vipi Development, akasema pale development nimekaa miezi 3.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yereeeuuwwwwiiiiii!
 
Kumbe akina ' Dully Sykes ' bado wapo wengi sana Tanzania?
 
Back
Top Bottom