Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,924
Wakuu Habari! hapa nipo mbio mbio nataka nimeze dawa za tumbo nitulie tu.
Kwa machache tu niseme tu leo Nimepatikana nimelishwa na visivyolika na bila kutegemea kwamba ntakuja kuvila.
Inshu ipo hivi nimeenda kwa jamaa yangu kumtembelea nikamkuta yupo na Kimwana wake, ile nimefika tu sijui walifikilia nini watu wale walikuwa wanataka kuniua, ghafla akaondoka kimya kimya na bila salamu kuelekea anakokujua, mi nikachuna tu sikujali wala nini nikamsalimia mwana pale nikaruka kwenye konchi kuanza kucheck movie.
Masaa kidogo namuona bibie anakuja na kibeseni cha maji ya kunawa mi nipo kimya nimejikausha ndo akanisalimia eti Mambo shem nami nikazuga poa tu, huyo kaondoka karudi na sahani kama tatu hivi harafu juu kuna chapati pembeni kuna mayai nikakaribishwa fresh tu haki ya nani yani namaliza kula ndo naambiwa unajua umekula mayai ya mbuni😳😢 basi tu niishie hapa siwezi kumalizia acha nimeze dawa za kusafisha tumbo wengine Uzungu kwetu ni mwiko ona sasa mmenilisha mayai ya mbuni na sijui kama yanaliwa.
Na kama ni sumu basi mmeniua na lengo lenu nimeshalijua.
Kwa machache tu niseme tu leo Nimepatikana nimelishwa na visivyolika na bila kutegemea kwamba ntakuja kuvila.
Inshu ipo hivi nimeenda kwa jamaa yangu kumtembelea nikamkuta yupo na Kimwana wake, ile nimefika tu sijui walifikilia nini watu wale walikuwa wanataka kuniua, ghafla akaondoka kimya kimya na bila salamu kuelekea anakokujua, mi nikachuna tu sikujali wala nini nikamsalimia mwana pale nikaruka kwenye konchi kuanza kucheck movie.
Masaa kidogo namuona bibie anakuja na kibeseni cha maji ya kunawa mi nipo kimya nimejikausha ndo akanisalimia eti Mambo shem nami nikazuga poa tu, huyo kaondoka karudi na sahani kama tatu hivi harafu juu kuna chapati pembeni kuna mayai nikakaribishwa fresh tu haki ya nani yani namaliza kula ndo naambiwa unajua umekula mayai ya mbuni😳😢 basi tu niishie hapa siwezi kumalizia acha nimeze dawa za kusafisha tumbo wengine Uzungu kwetu ni mwiko ona sasa mmenilisha mayai ya mbuni na sijui kama yanaliwa.
Na kama ni sumu basi mmeniua na lengo lenu nimeshalijua.