Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Hatupo na lissu,tupo na Tanzania,hata huyo lissu naye ameridhika kukaa kando akiangalia Tanzania tuitakayo ikitimizwa kwa vitendo cha ajabu eti maccm yamechukia,yafe kabisa kmmke.Wakati mwenda zake anatumia nguvu kupambana na upinzani mbona ulikua unashangilia au akili hizi zimekujia leo?
A bumpkin bum.Ukielewa tofauti utaelewa kwa nini nilikuwa naandika "Magufuli is a country bumpkin".
Mwendazake alifunga,Samia anafungua!! Huoni hilo?Kwani ccm Samia na mwenda zake kuna utofauti wowote?
Ukiwa na jicho la kichadema dema!Mwendazake alifunga,Samia anafungua!! Huoni hilo?
Sheikh Alhad Anasema Nini 😅😄😃😂😁😀😆😅Siku hazigandi
Mama Samia anasema Watanzania wa rahim sana, wanampongeza sana wakati yeye anaona kaanza padogo tu.A bumpkin bum.
Maaamaeee.Sijui anajisikiaje huko aliko!
Pia azidishiwe funza maalumMwendazake aongezewe kuni zakutosha na apewe adhabu ngumu sana
Mpuuzi sana yule
Yaani Hilo ndio kubwa kuliko yote!!!Umesahau HESLB kule kuna kitu imefutwa.
Everyday is Saturday............................... 😎
Wananchi wanaomba kutumia uwanja wa Chata kwa ajili ya kuanikia mahindi na mihogoNawaza na kuwazua sipati jibu. Ndani ya siku 100. Tanzania yametokea mambo ambayo sijui "_aliyekuwa na nchi akiamka atasemaje.
Hebu ona hii orodha:
1) CHADEMA wameshinda kesi hivyo 350 miilion zirudishwe
2) Barakoa mpaka viunga vya ikulu
3) Sabaya yupo jela
4) Mdude kaachiwa
5) Kufundisha Uzalendo na historia ya nchi! Nooooo
6) ATC hasara ya kufufuka MTU
7) Mpaka na Kenya upo wazi
8) Manji yupo
9) Bandari ya Bagamoyo "mchakato wa kupata mwekezaji huoooo
10) Waliopewa madaraka kwa ukanda akina Bashiru chaliiiiii Doto ondoaaaa
11) Bashite hana kazi
12) Madaraja yamepanda
13) Ajira zimeachiwa
14) Kukosoa ruksa
15) Deni la taifa ni balaaa
16) Online TV ruksa
17) Wabunge wa CCM walijadili uporwaji wa pesa za wafanyabiashara
Kiukweli tuacheni unafiki najua wengi silaha ya mjinga ni unafiki
Jamaa alikua anatupeleka chaka bovu!
Pia azidishiwe funza maalum
Huna haja ya kushangaa kwasababu maisha ni gurudumu.....!Nawaza na kuwazua sipati jibu. Ndani ya siku 100. Tanzania yametokea mambo ambayo sijui "_aliyekuwa na nchi akiamka atasemaje.
Hebu ona hii orodha:
1) CHADEMA wameshinda kesi hivyo 350 miilion zirudishwe
2) Barakoa mpaka viunga vya ikulu
3) Sabaya yupo jela
4) Mdude kaachiwa
5) Kufundisha Uzalendo na historia ya nchi! Nooooo
6) ATC hasara ya kufufuka MTU
7) Mpaka na Kenya upo wazi
8) Manji yupo
9) Bandari ya Bagamoyo "mchakato wa kupata mwekezaji huoooo
10) Waliopewa madaraka kwa ukanda akina Bashiru chaliiiiii Doto ondoaaaa
11) Bashite hana kazi
12) Madaraja yamepanda
13) Ajira zimeachiwa
14) Kukosoa ruksa
15) Deni la taifa ni balaaa
16) Online TV ruksa
17) Wabunge wa CCM walijadili uporwaji wa pesa za wafanyabiashara
Kiukweli tuacheni unafiki najua wengi silaha ya mjinga ni unafiki
Jamaa alikua anatupeleka chaka bovu!
Nyie ni wanafiki hata magu mlimsifia hivyo hivyo!!! Any way silaha ya masikini ni unafikiSamia na ccm mbele kwa mbele
Bumkin au pumpkin !?? Una maanisha bonga!??Ukielewa tofauti utaelewa kwa nini nilikuwa naandika "Magufuli is a country bumpkin".
Samia anaujua ung'eng'e kuliko bwana yule au hujui!??Kwani ccm Samia na mwenda zake kuna utofauti wowote?