Maisha haya kweli hakuna anayeijua kesho yake

Maisha haya kweli hakuna anayeijua kesho yake

Wakati mwenda zake anatumia nguvu kupambana na upinzani mbona ulikua unashangilia au akili hizi zimekujia leo?
Hatupo na lissu,tupo na Tanzania,hata huyo lissu naye ameridhika kukaa kando akiangalia Tanzania tuitakayo ikitimizwa kwa vitendo cha ajabu eti maccm yamechukia,yafe kabisa kmmke.
 
Mama aendelee tu hadi 2030
Chaguzi ni kuingiza Taifa kwenye gharama tu
 
A bumpkin bum.
Mama Samia anasema Watanzania wa rahim sana, wanampongeza sana wakati yeye anaona kaanza padogo tu.

Wanampongeza sana kwa sababu walipigwa loba kali, sasa mtu aliyepigwa loba kali akakaribia kushindwa kabisa kupumua, hata ukimfungulia kidogo tu ile loba aanze kupumua tu, atakushukuru sana.
 
Mwendazake aongezewe kuni zakutosha na apewe adhabu ngumu sana

Mpuuzi sana yule
 
Nawaza na kuwazua sipati jibu. Ndani ya siku 100. Tanzania yametokea mambo ambayo sijui "_aliyekuwa na nchi akiamka atasemaje.
Hebu ona hii orodha:

1) CHADEMA wameshinda kesi hivyo 350 miilion zirudishwe
2) Barakoa mpaka viunga vya ikulu
3) Sabaya yupo jela
4) Mdude kaachiwa
5) Kufundisha Uzalendo na historia ya nchi! Nooooo
6) ATC hasara ya kufufuka MTU
7) Mpaka na Kenya upo wazi
8) Manji yupo
9) Bandari ya Bagamoyo "mchakato wa kupata mwekezaji huoooo
10) Waliopewa madaraka kwa ukanda akina Bashiru chaliiiiii Doto ondoaaaa
11) Bashite hana kazi
12) Madaraja yamepanda
13) Ajira zimeachiwa
14) Kukosoa ruksa
15) Deni la taifa ni balaaa
16) Online TV ruksa
17) Wabunge wa CCM walijadili uporwaji wa pesa za wafanyabiashara

Kiukweli tuacheni unafiki najua wengi silaha ya mjinga ni unafiki

Jamaa alikua anatupeleka chaka bovu!
Wananchi wanaomba kutumia uwanja wa Chata kwa ajili ya kuanikia mahindi na mihogo

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Nawaza na kuwazua sipati jibu. Ndani ya siku 100. Tanzania yametokea mambo ambayo sijui "_aliyekuwa na nchi akiamka atasemaje.
Hebu ona hii orodha:

1) CHADEMA wameshinda kesi hivyo 350 miilion zirudishwe
2) Barakoa mpaka viunga vya ikulu
3) Sabaya yupo jela
4) Mdude kaachiwa
5) Kufundisha Uzalendo na historia ya nchi! Nooooo
6) ATC hasara ya kufufuka MTU
7) Mpaka na Kenya upo wazi
8) Manji yupo
9) Bandari ya Bagamoyo "mchakato wa kupata mwekezaji huoooo
10) Waliopewa madaraka kwa ukanda akina Bashiru chaliiiiii Doto ondoaaaa
11) Bashite hana kazi
12) Madaraja yamepanda
13) Ajira zimeachiwa
14) Kukosoa ruksa
15) Deni la taifa ni balaaa
16) Online TV ruksa
17) Wabunge wa CCM walijadili uporwaji wa pesa za wafanyabiashara

Kiukweli tuacheni unafiki najua wengi silaha ya mjinga ni unafiki

Jamaa alikua anatupeleka chaka bovu!
Huna haja ya kushangaa kwasababu maisha ni gurudumu.....!
 
Back
Top Bottom