Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaa..... Uliza Binti yoyote 18 - 25 sifa za mwanaume wa Ndoto yake, ni tofauti na mwanamke 30 - 40....Dah kwahiyo wengi hawafai?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Solution hapo ni kwenda kumuua huyo mzazi mwenzake
Aisee!Solution hapo ni kwenda kumuua huyo mzazi mwenzake
Kweli inafikirisha mkuuJiulize ina maana huyo baba mtoto hakuona hizo sifa nzuri mpaka akaingia mitini? Shtuka bro unaigiziwa! Hakuna mwanaume anayeweza kumuacha mwanamke wife material tena mwenye mtoto wake! Huyo ni mali ya Kizega SACCOS
Changanya na zako inawekana pia jamaa ndo tatizo.Kweli inafikirisha mkuu
Usingo maza usikufanye umuache
Dah kuna muda najipa moyo ila inaogopesha .
Jiulize ina maana huyo baba mtoto hakuona hizo sifa nzuri mpaka akaingia mitini? Shtuka bro unaigiziwa! Hakuna mwanaume anayeweza kumuacha mwanamke wife material tena mwenye mtoto wake! Huyo ni mali ya Kizega SACCOS