Achilia mbali kufundisha darasani hata kumfundisha mtu mzima kuna muda nashindwa maana sina subira wala kipaji cha kufundisha.View attachment 2497060
Je wewe hii Kazi unaiweza ?:au unadhani kusave laki tano na nusu Hadi Kupata 3Ml bila kukopa ?
Hiyo mil 3 nimesave bila kukopa mkuu na nimejenga kisimaAchilia mbali kufundisha darasani hata kumfundisha mtu mzima kuna muda nashindwa maana sina subira wala kipaji cha kufundisha.
Hongera sana mimi nawaheshimu sana walimu maana mnafanya kazi kubwa sana huku mkibeba lawama nyingi
Uzi mwingine alilalamika mshahara wake wa laki 6. JF 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻😄😄😄😄😄Huyu alikuwa ana lalamikia wazazi wake ktk nyuzi zake za nyuma, leo ana jipiga kifua...
Mungu akubariki sana. Hata mimi nna ndoto ya kujenga kisima huko kijijini kwetu wana shida ya maji wanachota maji kwenye madimbwi sema mipango sio matumizi kila siku napanga tu lakini sitimiziHiyo mil 3 nimesave bila kukopa mkuu na nimejenga kisima
Acha uongo kwa mshahara wa mwalimu au watumishi wengi walio chin ya tamisem huwez save iyo hela kwa mshahara wa laki 5 labda ukope au utumie miaka 4 kusave iyo helaHiyo mil 3 nimesave bila kukopa mkuu na nimejenga kisima
Kumbuka Sina Majukumu Makubwa Mimi kuseva 200k kwa mwezi Ni Jambo la kawaida SanaAcha uongo kwa mshahara wa mwalimu au watumishi wengi walio chin ya tamisem huwez save iyo hela kwa mshahara wa laki 5 labda ukope au utumie miaka 4 kusave iyo hela
Kaka vipi upo sawa???Now I'm matured, Hiki kidogo napata nilifanikiwa kusaidia masikini, kusaidia wazazi na kutoa sadaka
Nimewajengea wanakijiji kisima Cha mil 3 tu. Sasa nyie mnaoroga au mnahangaika kwa ajili ya hii Dunia mnatafuta Nini. Hata ukiishi miaka Mingi lazima ufe so why unaomba Maisha marefu huku unaishi katika Uchafu?
Better die Young than live a slave life. Legacy yangu nimeacha kisima Cha maji ,ndo hicho kisima Cha mil 3 so I'm ready to die nothing else. Mtapata maji, Mtaoga, Mtafua, Mtamwagilia Mboga Mboga zenu. Siachi mke Wala mtoto.
Haya land kaka wakora waitu!!!Mukama akusimee 🤣🤣🤣🤣🤣Now I'm matured, Hiki kidogo napata nilifanikiwa kusaidia masikini, kusaidia wazazi na kutoa sadaka
Nimewajengea wanakijiji kisima Cha mil 3 tu. Sasa nyie mnaoroga au mnahangaika kwa ajili ya hii Dunia mnatafuta Nini. Hata ukiishi miaka Mingi lazima ufe so why unaomba Maisha marefu huku unaishi katika Uchafu?
Better die Young than live a slave life. Legacy yangu nimeacha kisima Cha maji ,ndo hicho kisima Cha mil 3 so I'm ready to die nothing else. Mtapata maji, Mtaoga, Mtafua, Mtamwagilia Mboga Mboga zenu. Siachi mke Wala mtoto.
Obuntu bantu ombantuHaya land kaka wakora waitu!!!Mukama akusimee 🤣🤣🤣🤣🤣
Nyuguma nyuguma obuntu twasima!!!Kaka🤣🤣🤣Obuntu bantu ombantu
Mm nimenukuu huu msemo roho imeniuma sana....Now I'm matured, Hiki kidogo napata nilifanikiwa kusaidia masikini, kusaidia wazazi na kutoa sadaka
Nimewajengea wanakijiji kisima Cha mil 3 tu. Sasa nyie mnaoroga au mnahangaika kwa ajili ya hii Dunia mnatafuta Nini. Hata ukiishi miaka Mingi lazima ufe so why unaomba Maisha marefu huku unaishi katika Uchafu?
Better die Young than live a slave life. Legacy yangu nimeacha kisima Cha maji ,ndo hicho kisima Cha mil 3 so I'm ready to die nothing else. Mtapata maji, Mtaoga, Mtafua, Mtamwagilia Mboga Mboga zenu. Siachi mke Wala mtoto.
Acha uongo kwa mshahara wa mwalimu au watumishi wengi walio chin ya tamisem huwez save iyo hela kwa mshahara wa laki 5 labda ukope au utumie miaka 4 kusave iyo hela
I love seeing someone take full control of their lives, wengine wanaishi kwenye auto pilot mode
Nadhani yuko kwenye njia sahihiMshauri mwenzako kabla mambo kuharibika.