Maisha hayataki mchezo

Maisha hayataki mchezo

Saad30

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2020
Posts
2,737
Reaction score
5,464
Habari wakuu.

Asee hii game ya Maisha ni hatari sana, ukifanya hivi maisha yanakwambia achana na hizo mambo.

Unajiuliza hivi Mimi nimezaliwa kusindikiza wenzangu katika hii zawadi ya Dunia? Unapiga Moyo konde na kusema Wacha nisonge mbele asee hujafika hatua kadhaa unaskia asee Kuna michango inatakiwa.

Unajiuliza Hawa watu wanajua Mimi naanza kutembea au?

Nabaki natabasamu na kusema
God Is Good All the Time.
 
Hela hukaa mahali zinapoweza kutunzwa,
Kuna watu Hela Yao niyakusolve matatizo na sio ya kufanya maendeleo,
Kumudu maisha ni kitu kingine na kuwa Tajiri ni suala la kiroho zaidi,
Wapo wanaojituma ila hawatoboi,
Kama umetoka familia maskini ni ngumu kutoboa it's by his grace you will succeed,
Ngoja niishie hapa.......
 
Hela hukaa mahali zinapoweza kutunzwa,
Kuna watu Hela Yao niyakusolve matatizo na sio ya kufanya maendeleo,
Kumudu maisha ni kitu kingine na kuwa Tajiri ni suala la kiroho zaidi,
Wapo wanaojituma ila hawatoboi,
Kama umetoka familia maskini ni ngumu kutoboa it's by his grace you will succeed,
Ngoja niishie hapa.......
Roho ya kimaskini.
 
Lila siku naongea hilo ...
Kutoka katika poverty chain... Inahitaji sacrifice ya kweli jamani...

Unakita watu tunapambana mno ila end of day tunaishia kuwa na sehemu ya kulala basi
Spiritual muscles are more important than physical muscles,
Ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu HIVYOHIVYO mwenye Roho yenye nguvu na utajiri, pesa itamfuata,
Put your dreams into practice and he will bless your hard work.
 
Spiritual muscles are more important than physical muscles,
Ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu HIVYOHIVYO mwenye Roho yenye nguvu na utajiri, pesa itamfuata,
Put your dreams into practice and he will bless your hard work.
Mkuu haya mambo haya ...
Mi kuna ndugu angu mmoja ni ana mpunga kweli lakini sasa kuna mambo anafanya ya kiroho mmh huwa naheshimu sana watu na pesa zao
 
Best song 😎 Ngoma kalii sana
Ile Ngoma ni Kali sana ukiskiliza Kwa makini.

Niliirudia kama mara kumi hivi Kwa wakati mmoja kujua Dizasta kaleta vipi ujumbe na kaa la moto kaleta vipi ujumbe wake.
 
Back
Top Bottom