Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anajua sanaIle Ngoma ni Kali sana ukiskiliza Kwa makini.
Niliirudia kama mara kumi hivi Kwa wakati mmoja kujua Dizasta kaleta vipi ujumbe na kaa la moto kaleta vipi ujumbe wake.
Mkuu haya mambo haya ...
Mi kuna ndugu angu mmoja ni ana mpunga kweli lakini sasa kuna mambo anafanya ya kiroho mmh huwa naheshimu sana watu na pesa zao
ila wabongo bwana!! Sasa hapa mungu ameingiaje?Life will give you a green light the moment you drop the assertion of god is good all the time until then endelea kuhangaika ndugu
Mkuu usiseme hvo ooohNaomba uniunganishe na huyo ndugu yako ili anipe connection ya hayo mambo ya kiroho. Haya maisha bila kujitoa na kujizima data utajikuta unaendelea kuwa pale pale kila siku.
Mkuu kabla hujafika huko em Waza Kwa kina juu ya hilo.Naomba uniunganishe na huyo ndugu yako ili anipe connection ya hayo mambo ya kiroho. Haya maisha bila kujitoa na kujizima data utajikuta unaendelea kuwa pale pale kila siku.
Ndo hivyo umasikini ni tatizo la AKILI na sio kiroho wala familiaKwanini mkuu?
Wanasema umaskini ni laana Je,unazungumzia vipi Hilo swala Kwa mtazamo wako?
Kaka naomba namba yako ya whatsap kuna issue ya mbuzi ulipost miaka ya nyuma nahitaji muongozoLife will give you a green light the moment you drop the assertion of god is good all the time until then endelea kuhangaika ndugu