Miaka hiyo sisi kule chato tunaishi mapangoniJuu ya meza iliyo kando ya kitanda utaona taa iliyotumia mafuta, bakuli na jagi la maji. Hivi vilikua ni vitu vya muhimu sana chumbani kwa mstaarabu.
Taa ya mafuta ilipunguza ajali za moto, kabla ya hapo watu walitumia sana mishumaa ambayo maya nyingi ilishika moto wa pazia au karatasi zilizo chumbani.
Bakuli au baseni likitumika kunawia asubuhi, hasa wale waliohitaji kuwahi shughuli asubuhi. Wanaume waliweza ku shave ndevu. Matumizi mengine yalikua, Wenyewe waliita personal hygiene kwa wote wanaume na wanawake poa.
Sikuhizi una chumba ensuite, hizi ndiyo zilikua en-suites za miaka ya 1800.
Ukweli ni kuwa tulikuwa na ustaarabu wetu, unafahamu kuwa tuligundua matumizi ya miwa kuwa sukari. Uji wa mtama uliwekwa juice ya miwa na watu walipata kifungua kinywa.Miaka hiyo sisi kule chato tunaishi mapangoni
Labda Afika kaskazini au afrika ya magharibi ila sio huku singida mpaka leo tunalalia nyumba za tembeUkweli ni kuwa tulikuwa na ustaarabu wetu, unafahamu kuwa tuligundua matumizi ya miwa kuwa sukari. Uji wa mtama uliwekwa juice ya miwa na watu walipata kifungua kinywa.
Wazungu walipata utaalamu huu kutoka kwetu na wao wakaupeleka next level mpaka kutengeneza sukari, chocolate na liquor.