Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,454
Maisha magumu sana mpaka nataka kujaribu ushirikina watu wananishauri huenda nyota yangu imefifishwa maana kila jambo linaishia njiani na kuharibika kabla halijafanyika.
Nimeshaahidiwa kazi hata humu JF na baadhi ya members lakini ghafla ukungu unaingia mtu anaingia uzito hatimaye ananipotezea.
Sielewi hatma ya maisha yangu nimepitia maduka ya dawa za kisuna nimeanza na kukoga dawa inaitwa mzizima nimeambiwa pia dawa nyingine inaitwa Msaka Uchawi ukiinywa kama ulilishwa Uchawi basi utatapika sana , nyingine nimeambiwa inaitwa Nyota inasaidia sana kupandisha Nyota , nyingine inaitwa Ufunguo na Mkumbi.
Kuna mtu anataka kunipeleka kwa mganga nikaoshwe Dawa maana si kawaida .
Nimeshaahidiwa kazi hata humu JF na baadhi ya members lakini ghafla ukungu unaingia mtu anaingia uzito hatimaye ananipotezea.
Sielewi hatma ya maisha yangu nimepitia maduka ya dawa za kisuna nimeanza na kukoga dawa inaitwa mzizima nimeambiwa pia dawa nyingine inaitwa Msaka Uchawi ukiinywa kama ulilishwa Uchawi basi utatapika sana , nyingine nimeambiwa inaitwa Nyota inasaidia sana kupandisha Nyota , nyingine inaitwa Ufunguo na Mkumbi.
Kuna mtu anataka kunipeleka kwa mganga nikaoshwe Dawa maana si kawaida .