Chuku chuku
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 873
- 1,360
Ndo unazidi kulikoroga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili ya kwenda kwa waganga, lazima upigwe tu. Maana hamna jinsi.Maisha magumu sana mpaka nataka kujaribu ushirikina watu wananishauri huenda nyota yangu imefifishwa maana kila jambo linaishia njiani na kuharibika kabla halijafanyika....
Comment yako ilisomwa leo mchana Dw kiswahiliHizo dawa zote umenunua bei gani..?
Jamaa ebu toa ufafanuzi kidogo hapo mikocheni industrial area kuna fursa gani utakua umetusaidia wengiPole mkuu kwa changamoto ila kama upo Dar ,jitahidi uende mikocheni industrial area ukaulize mishe wakati ukisubiri kupata white collar job.
Mali kauliHizo dawa zote umenunua bei gani..?
Jamaa ebu toa ufafanuzi kidogo hapo mikocheni industrial area kuna fursa gani utakua umetusaidia wengi
Maisha magumu sana mpaka nataka kujaribu ushirikina watu wananishauri huenda nyota yangu imefifishwa maana kila jambo linaishia njiani na kuharibika kabla halijafanyika...
Ha ha ha haMaisha magumu sana mpaka nataka kujaribu ushirikina watu wananishauri huenda nyota yangu imefifishwa maana kila jambo linaishia njiani na kuharibika kabla halijafanyika...
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia.Maisha magumu sana mpaka nataka kujaribu ushirikina watu wananishauri huenda nyota yangu imefifishwa maana kila jambo linaishia njiani na kuharibika kabla halijafanyika...
.. Mkuu, kama hutajali tunaomba ufafanuzi zaidi hapa. Utakuwa umesaidia vijana wetu wengi.Mikocheni Industrial area - Shuka kituo cha ITV kuanzia pale kuna viwanda vingi sana vya DEIWAKA.