King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
.. Mkuu, kama hutajali tunaomba ufafanuzi zaidi hapa. Utakuwa umesaidia vijana wetu wengi.
Issue inakuwaje ili kuipata hiyo deiwaka??
naimbie unapo kaa nikupitie twenzetu ukatibiwe malawi hakuna haja ya passport! Tutashuka hapo kwako sita kamili.lkn uwe uchi wa mnyama.njia panda mtu akikuongeresha piga kimya!!! Hakuoni ila anajaribuMaisha magumu sana mpaka nataka kujaribu ushirikina watu wananishauri huenda nyota yangu imefifishwa maana kila jambo linaishia njiani na kuharibika kabla halijafanyika.
Nimeshaahidiwa kazi hata humu JF na baadhi ya members lakini ghafla ukungu unaingia mtu anaingia uzito hatimaye ananipotezea.
Sielewi hatma ya maisha yangu nimepitia maduka ya dawa za kisuna nimeanza na kukoga dawa inaitwa mzizima nimeambiwa pia dawa nyingine inaitwa Msaka Uchawi ukiinywa kama ulilishwa Uchawi basi utatapika sana , nyingine nimeambiwa inaitwa Nyota inasaidia sana kupandisha Nyota , nyingine inaitwa Ufunguo na Mkumbi.
Kuna mtu anataka kunipeleka kwa mganga nikaoshwe Dawa maana si kawaida .
Maisha magumu sana mpaka nataka kujaribu ushirikina watu wananishauri huenda nyota yangu imefifishwa maana kila jambo linaishia njiani na kuharibika kabla halijafanyika.
Nimeshaahidiwa kazi hata humu JF na baadhi ya members lakini ghafla ukungu unaingia mtu anaingia uzito hatimaye ananipotezea.
Sielewi hatma ya maisha yangu nimepitia maduka ya dawa za kisuna nimeanza na kukoga dawa inaitwa mzizima nimeambiwa pia dawa nyingine inaitwa Msaka Uchawi ukiinywa kama ulilishwa Uchawi basi utatapika sana , nyingine nimeambiwa inaitwa Nyota inasaidia sana kupandisha Nyota , nyingine inaitwa Ufunguo na Mkumbi.
Kuna mtu anataka kunipeleka kwa mganga nikaoshwe Dawa maana si kawaida .
Nenda asubuhi na mapema mikocheni industrial area kuulizia deiwaka,kazi haziji kirahisi lazima ufight ,ukifika tafuta vijana wanaosubiri kuingia viwandani mueleze hitaji lako atakupa info jinsi ya kupata mzigo....kazi nyingi za viwandani huwa zinapatikana sana kwasababu mapato yake ni kinyonge!!
na mie niponipo tu mkuu...Nitakutumia link ya kazi
"Amelaaniwa yule amtegemeaye mwanadamu...."Maisha magumu sana mpaka nataka kujaribu ushirikina watu wananishauri huenda nyota yangu imefifishwa maana kila jambo linaishia njiani na kuharibika kabla halijafanyika.
Nimeshaahidiwa kazi hata humu JF na baadhi ya members lakini ghafla ukungu unaingia mtu anaingia uzito hatimaye ananipotezea.
Sielewi hatma ya maisha yangu nimepitia maduka ya dawa za kisuna nimeanza na kukoga dawa inaitwa mzizima nimeambiwa pia dawa nyingine inaitwa Msaka Uchawi ukiinywa kama ulilishwa Uchawi basi utatapika sana , nyingine nimeambiwa inaitwa Nyota inasaidia sana kupandisha Nyota , nyingine inaitwa Ufunguo na Mkumbi.
Kuna mtu anataka kunipeleka kwa mganga nikaoshwe Dawa maana si kawaida .
Pole brother ila usikate tamaa and the good thing upo dar sehemu ambapo fursa zipo kibao jaribu hata vibarua viwandani coz kwa hapo dar viwanda ni vingi also makampuni ya ulinzi unaweza kupita huko ukaulizia and vigezo sio vigumu na mshahara sio mkubwa sana kivile ila maisha yanasonga na ukijibana unaweza kufanya saving ukapata mtaji ukafanya michakato mingine usisubili sana kaz za ofisin kila la kheri!!!!!!!!!Maisha magumu sana mpaka nataka kujaribu ushirikina watu wananishauri huenda nyota yangu imefifishwa maana kila jambo linaishia njiani na kuharibika kabla halijafanyika.
Nimeshaahidiwa kazi hata humu JF na baadhi ya members lakini ghafla ukungu unaingia mtu anaingia uzito hatimaye ananipotezea.
Sielewi hatma ya maisha yangu nimepitia maduka ya dawa za kisuna nimeanza na kukoga dawa inaitwa mzizima nimeambiwa pia dawa nyingine inaitwa Msaka Uchawi ukiinywa kama ulilishwa Uchawi basi utatapika sana , nyingine nimeambiwa inaitwa Nyota inasaidia sana kupandisha Nyota , nyingine inaitwa Ufunguo na Mkumbi.
Kuna mtu anataka kunipeleka kwa mganga nikaoshwe Dawa maana si kawaida .
nimemshangaa sana[emoji26]Mkuu hali unayo pitia wewe ndio tunapitia vijana wengi sana asikuambie mtu.