Acha kudanganya wenzio, mtu hana hela ya kula atapata wapi hela bibbleNenda Kwa wasabato kajiunge na uinjilist wa vitabu upate mtaji ukomae mtaa , miez miwili ni mingi ukikomaa unakuwa na one mill up to 2millio.. ila uwe mcheshi, mchangamfu , mtu wa kuombea watu na biblia ujue kuifunua funua.....Acha ujinga wa kutaka kujiua
YouTube zinasajiliwa. Akianzisha channel bila hata hela ya kula atapata wapi content, na hao viewers idadi ya kuanza kulipwa atafikisha lini. Kwanza YouTube channel hailipi kibongobongo hapa labda uunganishe na kitu kingine kama Shilawadu na channel yao.YouTube channel..
Website
Jiajiri kwenye technology
Acha kumuita baba ako baba jina akati we mwenyewe unapambana na huna direction.Maisha yanazidi kunichachia kila kukicha ,nimetafuta sana kazi bila mafanikio yoyote mpaka ninahisi nimerogwa .
Mtaani thamani yangu imeshuka mno maaana nilipiga hatua kidogo ya kielimu ila nikakosa mtu wa kuniendeleza baada ya kufiwa na mama ,(baba yupo ila ni baba jina) hivyo nikakata tamaa ya kuandika barua ya kupostpone maana nilishawahi ku postpone lakini mambo hayakwenda vizuri hivyo nikaamua kuacha chuo.
Kwa sasa nahitaji angalau kupata kazi niingize japo elfu 7 kwa siku .
Mawazo ya kujiua yananiandama mara kwa mara ila ninapingana nayo kiume nina imani IPO siku nitafanikiwa.
Kule kila kitu unapewa bure ni wewe Tu na mguu na njia na utakula vinono vya watu mpak ukimbie, kwenye dini kuna hela kinyamaAcha kudanganya wenzio, mtu hana hela ya kula atapata wapi hela bibble