Maisha magumu sana ila nina imani ipo siku nitafanikiwa

Maisha magumu sana ila nina imani ipo siku nitafanikiwa

Mkuu acha kukata tamaa ya maisha.. 7 elfu kwa siku Ni ndogo na inapatika na zaidi... Ila unahitaji kuchanganya akili kwa haraka na kuepuka kuchagua kazi.. je unajua kuendesha gari.. bike.. au bajaji. Je una driving lesen

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu acha kukata tamaa ya maisha.. 7 elfu kwa siku Ni ndogo na inapatika na zaidi... Ila unahitaji kuchanganya akili kwa haraka na kuepuka kuchagua kazi.. je unajua kuendesha gari.. bike.. au bajaji. Je una driving lesen

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu, kwa bahati mbaya sijajifunza kuendesha chombo chochote cha usafiri,ila nina malengo ya kujifunza .
 
Tatizo wimbi la vijana matapeli na walagai Ni wengi Sanaa,wanakujagaa na sura za onyongee na maneno ya kuuzunisha,Ila wakisha saidiwa kishuhuli Ni heri ya nyokaa.kuna jamaa alikuja golini kwangu Kama wiki mbili mfululizo akinieleza maswaibu yanayo mfikaa na jinsi life lilivyo mchapa.sina kipato kikubwa Ila Imani ikaniingia na kunipoza.nikaona kwa vile nikijana mwezangu ngoja niwe na mpaa PRS kazaa za viatu akizungusha hatakosaa Cha juuu.walaaaaah nilivyo mpa sikuwai kumuona tenaa
 
Mi nakosaga mia ila nikikaa kidogo napata maisha kujiua haifai.
 
Maisha yanazidi kunichachia kila kukicha, nimetafuta sana kazi bila mafanikio yoyote mpaka ninahisi nimerogwa.

Mtaani thamani yangu imeshuka mno maaana nilipiga hatua kidogo ya kielimu ila nikakosa mtu wa kuniendeleza baada ya kufiwa na mama (baba yupo ila ni baba jina) hivyo nikakata tamaa ya kuandika barua ya ku-postpone maana nilishawahi ku-postpone lakini mambo hayakwenda vizuri hivyo nikaamua kuacha chuo.

Kwa sasa nahitaji angalau kupata kazi niingize japo elfu 7 kwa siku.

Mawazo ya kujiua yananiandama mara kwa mara ila ninapingana nayo kiume. Nina imani ipo siku nitafanikiwa.
Niuzie hio simu upate mtaji wa kuuza Apple barabarani
 
Siku moja nilienda Temeke hospital nikiwa hoi nachechemea mguu. Baada ya kwenda kwenye sehemu ya foleni kumuona daktari niliacha mara moja kuchechemea. Maana nilikutana na watu wenye vyuma miguuni,Miguu imevimba,wamekatika miguu. Wengine bodaboda wanaletwa naona. Bila kwenda kumuona daktari nilijikuta natembea vizuri wala sisikii maumivu. Na nilirudi home kabisa maana niliona mimi siumwi natania/nadeka.

Huku kuna padri anapenda kusema ukiona umejisahau au umekata tamaa nenda Hospital ya Mount Meru Wodi namba sita. Utakachokiona utajifunza. Ni Wodi ya Wagonjwa wa TB na Kansa.

So my point is pinned to the fact that..No matter what you're going through Never loose focus and never give up. Jitahidi kufurahi na ulichonacho. Kidogo hicho kinachokuliza kuna mtu anakitamani hakipati. Kuna mtu anatamani hata angeweza kupost uzi kama ww ulivyoweza ila kashindwa. Afya yako uliyonayo hapo ni mafanikio makubwa sana kwako maana Maisha ni Afya na sio pesa.

Kila siku Ukiamka asubuhi ukavuta pumzi ikaingia na kutoka mpaka jioni bila msaada wala shida yoyote basi wewe ni moja ya matajiri wakubwa waliopo duniani. Najua hutanielewa na kuniona mbabaishaji/Machi noo ila ndio ukweli maana tumezoea kuyapima mafanikio kwa vile vitu vinavyoweza shikika (Material things).

Embrace what you have.. Happily
Well said......Nime screenshot hii
 
Usichoke kupambana jaribu kila sehemu kuomba ujitolee hata kwa wauza chipsi, wajenzi wa nyumba, na fani zote za chini utapewa chakula cha siku ukizoeleka utaanza kulipwa kwa siku na hatimae utapata uzoefu na utasimama mwenyewe. Usikate tamaa maisha yana mapito mno
 
unamuita baba yako baba jinA?
Heshimu wazazi wako Kwanza hata kama hawakusaidii
 
Pole sana. Naenda sehemu wajengazo Majengo upate kibarua hapo, ujipange. Daily 7,000 utaokoa sana. Acha Mawazo ya kufa. Kuna wenzako wawili wanadegree wanasogeza Tofali kwa fundi, vyeti kaacha home. Maisha yanaendelea
 
Yani humu hakuna hata mtu wa kumpa mchogo jamaa awe anapate hata hiyo buku 7?
 
Siku moja nilienda Temeke hospital nikiwa hoi nachechemea mguu. Baada ya kwenda kwenye sehemu ya foleni kumuona daktari niliacha mara moja kuchechemea. Maana nilikutana na watu wenye vyuma miguuni,Miguu imevimba,wamekatika miguu. Wengine bodaboda wanaletwa naona. Bila kwenda kumuona daktari nilijikuta natembea vizuri wala sisikii maumivu. Na nilirudi home kabisa maana niliona mimi siumwi natania/nadeka.

Huku kuna padri anapenda kusema ukiona umejisahau au umekata tamaa nenda Hospital ya Mount Meru Wodi namba sita. Utakachokiona utajifunza. Ni Wodi ya Wagonjwa wa TB na Kansa.

So my point is pinned to the fact that..No matter what you're going through Never loose focus and never give up. Jitahidi kufurahi na ulichonacho. Kidogo hicho kinachokuliza kuna mtu anakitamani hakipati. Kuna mtu anatamani hata angeweza kupost uzi kama ww ulivyoweza ila kashindwa. Afya yako uliyonayo hapo ni mafanikio makubwa sana kwako maana Maisha ni Afya na sio pesa.

Kila siku Ukiamka asubuhi ukavuta pumzi ikaingia na kutoka mpaka jioni bila msaada wala shida yoyote basi wewe ni moja ya matajiri wakubwa waliopo duniani. Najua hutanielewa na kuniona mbabaishaji/Machi noo ila ndio ukweli maana tumezoea kuyapima mafanikio kwa vile vitu vinavyoweza shikika (Material things).

Embrace what you have.. Happily
Kuwa na mawazo kama haya wewe tayari ni tajiri bigup watu hujua thamani ya walichonacho pindi kinapotoweka ni hivyo tu. Unaweza kulalamika huna pesa ili hali familia yako ni wazima kuna wenye mali lakini zinaishia kwenye matibabu ya mwanafamilia. Utajiri na umasikini huanzia ndani ya mtu kisha kujidhihirisha katika ulimwengu wa mwili
 
Komaa, tafuta hata miji midogo ambayo gharama za maisha ziko chini ukaanzie huko.
 
Siku moja nilienda Temeke hospital nikiwa hoi nachechemea mguu. Baada ya kwenda kwenye sehemu ya foleni kumuona daktari niliacha mara moja kuchechemea. Maana nilikutana na watu wenye vyuma miguuni,Miguu imevimba,wamekatika miguu. Wengine bodaboda wanaletwa naona. Bila kwenda kumuona daktari nilijikuta natembea vizuri wala sisikii maumivu. Na nilirudi home kabisa maana niliona mimi siumwi natania/nadeka.

Huku kuna padri anapenda kusema ukiona umejisahau au umekata tamaa nenda Hospital ya Mount Meru Wodi namba sita. Utakachokiona utajifunza. Ni Wodi ya Wagonjwa wa TB na Kansa.

So my point is pinned to the fact that..No matter what you're going through Never loose focus and never give up. Jitahidi kufurahi na ulichonacho. Kidogo hicho kinachokuliza kuna mtu anakitamani hakipati. Kuna mtu anatamani hata angeweza kupost uzi kama ww ulivyoweza ila kashindwa. Afya yako uliyonayo hapo ni mafanikio makubwa sana kwako maana Maisha ni Afya na sio pesa.

Kila siku Ukiamka asubuhi ukavuta pumzi ikaingia na kutoka mpaka jioni bila msaada wala shida yoyote basi wewe ni moja ya matajiri wakubwa waliopo duniani. Najua hutanielewa na kuniona mbabaishaji/Machi noo ila ndio ukweli maana tumezoea kuyapima mafanikio kwa vile vitu vinavyoweza shikika (Material things).

Embrace what you have.. Happily
Good advice, God be with you today and forever.
 
Siku moja nilienda Temeke hospital nikiwa hoi nachechemea mguu. Baada ya kwenda kwenye sehemu ya foleni kumuona daktari niliacha mara moja kuchechemea. Maana nilikutana na watu wenye vyuma miguuni,Miguu imevimba,wamekatika miguu. Wengine bodaboda wanaletwa naona. Bila kwenda kumuona daktari nilijikuta natembea vizuri wala sisikii maumivu. Na nilirudi home kabisa maana niliona mimi siumwi natania/nadeka.

Huku kuna padri anapenda kusema ukiona umejisahau au umekata tamaa nenda Hospital ya Mount Meru Wodi namba sita. Utakachokiona utajifunza. Ni Wodi ya Wagonjwa wa TB na Kansa.

So my point is pinned to the fact that..No matter what you're going through Never loose focus and never give up. Jitahidi kufurahi na ulichonacho. Kidogo hicho kinachokuliza kuna mtu anakitamani hakipati. Kuna mtu anatamani hata angeweza kupost uzi kama ww ulivyoweza ila kashindwa. Afya yako uliyonayo hapo ni mafanikio makubwa sana kwako maana Maisha ni Afya na sio pesa.

Kila siku Ukiamka asubuhi ukavuta pumzi ikaingia na kutoka mpaka jioni bila msaada wala shida yoyote basi wewe ni moja ya matajiri wakubwa waliopo duniani. Najua hutanielewa na kuniona mbabaishaji/Machi noo ila ndio ukweli maana tumezoea kuyapima mafanikio kwa vile vitu vinavyoweza shikika (Material things).

Embrace what you have.. Happily
Mungu Akubariki hii ni comment bora sana bila shaka Uliyeandika ni Mtu mwenye roho nzuri sana Umemaliza kila kitu Mungu ni mwema Atafanya njia pasipo na njia
 
Usikate tamaa mkuu kuna jamaa alimaliza SUA food science and technology alikaa miaka minne ndo akaajiriwa tena sehemu nzuri now ana family maisha yanaenda alishasahau kama alikuwa dereva wa uber jamaa yupo TANZANIA DIARY BOARD kawa kibonge kama pipa

Don't give up
 
Mkuu acha kukata tamaa ya maisha.. 7 elfu kwa siku Ni ndogo na inapatika na zaidi... Ila unahitaji kuchanganya akili kwa haraka na kuepuka kuchagua kazi.. je unajua kuendesha gari.. bike.. au bajaji. Je una driving lesen

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app


mkuu mm najua kuendesha vyote hvyo na nina leseni tafadhal kama kuna kaz naomba niunganishe namba yangu 0687886600
 
Back
Top Bottom