Maisha magumu sana ila nina imani ipo siku nitafanikiwa

Ya
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Vinginevyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
 
Kule kila kitu unapewa bure ni wewe Tu na mguu na njia a utakula vinono vya watu mpak ukimbie kwenye dini kuna hela kinyama
Dini inalipa sana Mimi mwenyewe nataka nifungue kanisa hata kama ni la mbao kama banda haina noma naanza mdogodogo.
 
Kwa hiyo wasabato ni milionea?
 
Usikate tamaa katika haya maisha hata siku moja, jaribu kila unachohisi kinaweza kukutoa utafanikiwa, cha msingi ni kumtanguliza Mungu.
 
Usikate tamas boss. Pambania kombe mpka kieleweke aliekupa mdomo anajua atakulisha vipi na utakula nini.

Pambania kombe boss hauko peke yako tuko wengi tunao taabika. Ila hatukati tamaa.

Tunaamini the sun will shine one day.

Do your best but don't lose yourself.

Sikiliza nyimbo ya John drille- sun will shine.
 
Buku Saba njoo hapa Lumumba utapata, una uandishi mzuri nitakukonekti na Bashiru.
 
Unaweza kuendesha boda boda? Una leseni?
 
Unaweza kuendesha boda boda? Una leseni?
 
Kule kila kitu unapewa bure ni wewe Tu na mguu na njia na utakula vinono vya watu mpak ukimbie kwenye dini kuna hela kinyama

Kama nakuelewa hivi, huwa nawaza kujiunga na dini zenye fursa hasa taaluma yangu. Ukijiweka vizuri ni rahisi kula vinono.

Japo sijui vema kuhusu huo uinjilisti, lakini nimeelewa nukta yako.

Kitu pekee kitachonipeleka kanisani, ni mke ili nifunge ndoa, na fursa kwenye taasisi hizo.
 
Kwanza acha kumdharau baba yako. Hujui amaepitia mangapi mpaka hapo alipo au kama ni makusudi piga kimya sio mpaka ututangazie jf "baba jina".

Anyway una ujuzi gani*?
 
Kwanza acha kumdharau baba yako. Hujui amaepitia mangapi mpaka hapo alipo au kama ni makusudi piga kimya sio mpaka ututangazie jf "baba jina".

Anyway una ujuzi gani*?
Nina sababu za msingi za kumuita baba jina.
 
Pole Sana. Usikate tamaa, endelea kuomba na kutafuta vibarua. Mungu akakupe kibali.
 
Kumbe nna muda mrefu sijaingia Jamii forum.. dogo umemature sana tu.
 
Bony Mwaitege anasema MAISHA NI FOLENI KILA SIKU YANASOGEA, MWAMINI MUNGU IPO SIKU UTAFANIKIWA...
Hold on mkuu nothing is easy and yet nothing is impossible.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…