MENO MEUSI
Member
- Feb 14, 2020
- 68
- 78
Mkuu, kwa bahati mbaya sijajifunza kuendesha chombo chochote cha usafiri,ila nina malengo ya kujifunza .Mkuu acha kukata tamaa ya maisha.. 7 elfu kwa siku Ni ndogo na inapatika na zaidi... Ila unahitaji kuchanganya akili kwa haraka na kuepuka kuchagua kazi.. je unajua kuendesha gari.. bike.. au bajaji. Je una driving lesen
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Niuzie hio simu upate mtaji wa kuuza Apple barabaraniMaisha yanazidi kunichachia kila kukicha, nimetafuta sana kazi bila mafanikio yoyote mpaka ninahisi nimerogwa.
Mtaani thamani yangu imeshuka mno maaana nilipiga hatua kidogo ya kielimu ila nikakosa mtu wa kuniendeleza baada ya kufiwa na mama (baba yupo ila ni baba jina) hivyo nikakata tamaa ya kuandika barua ya ku-postpone maana nilishawahi ku-postpone lakini mambo hayakwenda vizuri hivyo nikaamua kuacha chuo.
Kwa sasa nahitaji angalau kupata kazi niingize japo elfu 7 kwa siku.
Mawazo ya kujiua yananiandama mara kwa mara ila ninapingana nayo kiume. Nina imani ipo siku nitafanikiwa.
Well said......Nime screenshot hiiSiku moja nilienda Temeke hospital nikiwa hoi nachechemea mguu. Baada ya kwenda kwenye sehemu ya foleni kumuona daktari niliacha mara moja kuchechemea. Maana nilikutana na watu wenye vyuma miguuni,Miguu imevimba,wamekatika miguu. Wengine bodaboda wanaletwa naona. Bila kwenda kumuona daktari nilijikuta natembea vizuri wala sisikii maumivu. Na nilirudi home kabisa maana niliona mimi siumwi natania/nadeka.
Huku kuna padri anapenda kusema ukiona umejisahau au umekata tamaa nenda Hospital ya Mount Meru Wodi namba sita. Utakachokiona utajifunza. Ni Wodi ya Wagonjwa wa TB na Kansa.
So my point is pinned to the fact that..No matter what you're going through Never loose focus and never give up. Jitahidi kufurahi na ulichonacho. Kidogo hicho kinachokuliza kuna mtu anakitamani hakipati. Kuna mtu anatamani hata angeweza kupost uzi kama ww ulivyoweza ila kashindwa. Afya yako uliyonayo hapo ni mafanikio makubwa sana kwako maana Maisha ni Afya na sio pesa.
Kila siku Ukiamka asubuhi ukavuta pumzi ikaingia na kutoka mpaka jioni bila msaada wala shida yoyote basi wewe ni moja ya matajiri wakubwa waliopo duniani. Najua hutanielewa na kuniona mbabaishaji/Machi noo ila ndio ukweli maana tumezoea kuyapima mafanikio kwa vile vitu vinavyoweza shikika (Material things).
Embrace what you have.. Happily
Kuwa na mawazo kama haya wewe tayari ni tajiri bigup watu hujua thamani ya walichonacho pindi kinapotoweka ni hivyo tu. Unaweza kulalamika huna pesa ili hali familia yako ni wazima kuna wenye mali lakini zinaishia kwenye matibabu ya mwanafamilia. Utajiri na umasikini huanzia ndani ya mtu kisha kujidhihirisha katika ulimwengu wa mwiliSiku moja nilienda Temeke hospital nikiwa hoi nachechemea mguu. Baada ya kwenda kwenye sehemu ya foleni kumuona daktari niliacha mara moja kuchechemea. Maana nilikutana na watu wenye vyuma miguuni,Miguu imevimba,wamekatika miguu. Wengine bodaboda wanaletwa naona. Bila kwenda kumuona daktari nilijikuta natembea vizuri wala sisikii maumivu. Na nilirudi home kabisa maana niliona mimi siumwi natania/nadeka.
Huku kuna padri anapenda kusema ukiona umejisahau au umekata tamaa nenda Hospital ya Mount Meru Wodi namba sita. Utakachokiona utajifunza. Ni Wodi ya Wagonjwa wa TB na Kansa.
So my point is pinned to the fact that..No matter what you're going through Never loose focus and never give up. Jitahidi kufurahi na ulichonacho. Kidogo hicho kinachokuliza kuna mtu anakitamani hakipati. Kuna mtu anatamani hata angeweza kupost uzi kama ww ulivyoweza ila kashindwa. Afya yako uliyonayo hapo ni mafanikio makubwa sana kwako maana Maisha ni Afya na sio pesa.
Kila siku Ukiamka asubuhi ukavuta pumzi ikaingia na kutoka mpaka jioni bila msaada wala shida yoyote basi wewe ni moja ya matajiri wakubwa waliopo duniani. Najua hutanielewa na kuniona mbabaishaji/Machi noo ila ndio ukweli maana tumezoea kuyapima mafanikio kwa vile vitu vinavyoweza shikika (Material things).
Embrace what you have.. Happily
Good advice, God be with you today and forever.Siku moja nilienda Temeke hospital nikiwa hoi nachechemea mguu. Baada ya kwenda kwenye sehemu ya foleni kumuona daktari niliacha mara moja kuchechemea. Maana nilikutana na watu wenye vyuma miguuni,Miguu imevimba,wamekatika miguu. Wengine bodaboda wanaletwa naona. Bila kwenda kumuona daktari nilijikuta natembea vizuri wala sisikii maumivu. Na nilirudi home kabisa maana niliona mimi siumwi natania/nadeka.
Huku kuna padri anapenda kusema ukiona umejisahau au umekata tamaa nenda Hospital ya Mount Meru Wodi namba sita. Utakachokiona utajifunza. Ni Wodi ya Wagonjwa wa TB na Kansa.
So my point is pinned to the fact that..No matter what you're going through Never loose focus and never give up. Jitahidi kufurahi na ulichonacho. Kidogo hicho kinachokuliza kuna mtu anakitamani hakipati. Kuna mtu anatamani hata angeweza kupost uzi kama ww ulivyoweza ila kashindwa. Afya yako uliyonayo hapo ni mafanikio makubwa sana kwako maana Maisha ni Afya na sio pesa.
Kila siku Ukiamka asubuhi ukavuta pumzi ikaingia na kutoka mpaka jioni bila msaada wala shida yoyote basi wewe ni moja ya matajiri wakubwa waliopo duniani. Najua hutanielewa na kuniona mbabaishaji/Machi noo ila ndio ukweli maana tumezoea kuyapima mafanikio kwa vile vitu vinavyoweza shikika (Material things).
Embrace what you have.. Happily
Mungu Akubariki hii ni comment bora sana bila shaka Uliyeandika ni Mtu mwenye roho nzuri sana Umemaliza kila kitu Mungu ni mwema Atafanya njia pasipo na njiaSiku moja nilienda Temeke hospital nikiwa hoi nachechemea mguu. Baada ya kwenda kwenye sehemu ya foleni kumuona daktari niliacha mara moja kuchechemea. Maana nilikutana na watu wenye vyuma miguuni,Miguu imevimba,wamekatika miguu. Wengine bodaboda wanaletwa naona. Bila kwenda kumuona daktari nilijikuta natembea vizuri wala sisikii maumivu. Na nilirudi home kabisa maana niliona mimi siumwi natania/nadeka.
Huku kuna padri anapenda kusema ukiona umejisahau au umekata tamaa nenda Hospital ya Mount Meru Wodi namba sita. Utakachokiona utajifunza. Ni Wodi ya Wagonjwa wa TB na Kansa.
So my point is pinned to the fact that..No matter what you're going through Never loose focus and never give up. Jitahidi kufurahi na ulichonacho. Kidogo hicho kinachokuliza kuna mtu anakitamani hakipati. Kuna mtu anatamani hata angeweza kupost uzi kama ww ulivyoweza ila kashindwa. Afya yako uliyonayo hapo ni mafanikio makubwa sana kwako maana Maisha ni Afya na sio pesa.
Kila siku Ukiamka asubuhi ukavuta pumzi ikaingia na kutoka mpaka jioni bila msaada wala shida yoyote basi wewe ni moja ya matajiri wakubwa waliopo duniani. Najua hutanielewa na kuniona mbabaishaji/Machi noo ila ndio ukweli maana tumezoea kuyapima mafanikio kwa vile vitu vinavyoweza shikika (Material things).
Embrace what you have.. Happily
Mkuu acha kukata tamaa ya maisha.. 7 elfu kwa siku Ni ndogo na inapatika na zaidi... Ila unahitaji kuchanganya akili kwa haraka na kuepuka kuchagua kazi.. je unajua kuendesha gari.. bike.. au bajaji. Je una driving lesen
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Upo mkoa gani, kuna deal ya 20k kwa siku hapa.