Maisha magumu sana jamani

Maisha magumu sana jamani

Jamani huko mliko nyie wenzangu vipi? Huku naona kama kipa katoka, ngoma ngumu sana! Ile milo mitatu kwa siku imekua kwa mbinde sana, hebu fikiria yale mahitaji muhimu ya mwanadamu bado kwetu ni tatizo.

Hatuli vizuri, hatuvai vizuri, na mbaya zaidi hatulali pazuri. Kuna kundi kubwa la watu wanarudisha mpira kwa kipa (wanarudi kijijini), mijini hakukaliki, kila siku afadhali ya jana!

Biashara haziendi, mikopo hailipiki madeni kila kona, stress tupu. Hivi kwa hali hii nguvu za kiume zinatoka wapi? Usiku usingizi hauji ni kuwaza tu, hata hamu ya kula Chakula cha usiku" utaitoa wapi? Barabarani unapishana na mtu anaongea peke yake.

Hebu tupeane mbinu wakuu, wale wanaokesha kitambaa cheupe na kule bandarini kila siku meli zinaleta magari wanafanyaje? Yaani kama adhabu kumbe ndio maisha yenyewe.
We si mzinzi uliyekuwa unajinadi kuwa wanaume wapole muwaogope sijui anatawanya tako moja kule jingine kule sijui anakuhemesha komaaa na malipo ya uzinxi wako [emoji491]
 
Jamani huko mliko nyie wenzangu vipi? Huku naona kama kipa katoka, ngoma ngumu sana! Ile milo mitatu kwa siku imekua kwa mbinde sana, hebu fikiria yale mahitaji muhimu ya mwanadamu bado kwetu ni tatizo.

Hatuli vizuri, hatuvai vizuri, na mbaya zaidi hatulali pazuri. Kuna kundi kubwa la watu wanarudisha mpira kwa kipa (wanarudi kijijini), mijini hakukaliki, kila siku afadhali ya jana!

Biashara haziendi, mikopo hailipiki madeni kila kona, stress tupu. Hivi kwa hali hii nguvu za kiume zinatoka wapi? Usiku usingizi hauji ni kuwaza tu, hata hamu ya kula Chakula cha usiku" utaitoa wapi? Barabarani unapishana na mtu anaongea peke yake.

Hebu tupeane mbinu wakuu, wale wanaokesha kitambaa cheupe na kule bandarini kila siku meli zinaleta magari wanafanyaje? Yaani kama adhabu kumbe ndio maisha yenyewe.
Unaamka asubuhi na njaa unawaza, niende kwa mganga sina ela, au niende kwa mchungaji sina Sadaka( si unajua wachungaji hawakuombei bila hela). CCM Mungu aibariki tu.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Jamani huko mliko nyie wenzangu vipi? Huku naona kama kipa katoka, ngoma ngumu sana! Ile milo mitatu kwa siku imekua kwa mbinde sana, hebu fikiria yale mahitaji muhimu ya mwanadamu bado kwetu ni tatizo.

Hatuli vizuri, hatuvai vizuri, na mbaya zaidi hatulali pazuri. Kuna kundi kubwa la watu wanarudisha mpira kwa kipa (wanarudi kijijini), mijini hakukaliki, kila siku afadhali ya jana!

Biashara haziendi, mikopo hailipiki madeni kila kona, stress tupu. Hivi kwa hali hii nguvu za kiume zinatoka wapi? Usiku usingizi hauji ni kuwaza tu, hata hamu ya kula Chakula cha usiku" utaitoa wapi? Barabarani unapishana na mtu anaongea peke yake.

Hebu tupeane mbinu wakuu, wale wanaokesha kitambaa cheupe na kule bandarini kila siku meli zinaleta magari wanafanyaje? Yaani kama adhabu kumbe ndio maisha yenyewe.
Ummeongea ukweli mkuu. Binafsi mmi namshukuru Mungu kwa ninachokipata kupitia baraka zake sijawahi kuhadhirika .

Pamoja na hayo pesa haikai mfukoni kiasi kwamba kukabili bajeti za kila siku imekuwa mtihani sana

Hali sio salama
 
Yes kama huna kazi ya uhakika ya kuajiliwa na mtaji wako wa biashara ni mdogo aisee kazi unayo - pole sana.
Unaweza ukawa na mtaji mkubwa na biashara ikawa haitoki inavyotakiwa na maisha tunategemeana yule wa chini Kama pesa Hana wewe utauzaje biashara Mimi Niko kwenye biashara na Sasa ivi wale wenye maduka makubwa yalio kariakoo wanatafuta wateja wa mikoani huku kwa nguvu na wale Wana mitaji mikubwa kwa hio maisha hayana formol Cha muhimu ni kumuomba mungu na kuendelea kupambana bt mitaani Hali ni tete
 
Jamani huko mliko nyie wenzangu vipi? Huku naona kama kipa katoka, ngoma ngumu sana! Ile milo mitatu kwa siku imekua kwa mbinde sana, hebu fikiria yale mahitaji muhimu ya mwanadamu bado kwetu ni tatizo.

Hatuli vizuri, hatuvai vizuri, na mbaya zaidi hatulali pazuri. Kuna kundi kubwa la watu wanarudisha mpira kwa kipa (wanarudi kijijini), mijini hakukaliki, kila siku afadhali ya jana!

Biashara haziendi, mikopo hailipiki madeni kila kona, stress tupu. Hivi kwa hali hii nguvu za kiume zinatoka wapi? Usiku usingizi hauji ni kuwaza tu, hata hamu ya kula Chakula cha usiku" utaitoa wapi? Barabarani unapishana na mtu anaongea peke yake.

Hebu tupeane mbinu wakuu, wale wanaokesha kitambaa cheupe na kule bandarini kila siku meli zinaleta magari wanafanyaje? Yaani kama adhabu kumbe ndio maisha yenyewe.
Na huu ndio ukweli wenyewe.
 
Jamani huko mliko nyie wenzangu vipi? Huku naona kama kipa katoka, ngoma ngumu sana! Ile milo mitatu kwa siku imekua kwa mbinde sana, hebu fikiria yale mahitaji muhimu ya mwanadamu bado kwetu ni tatizo.

Hatuli vizuri, hatuvai vizuri, na mbaya zaidi hatulali pazuri. Kuna kundi kubwa la watu wanarudisha mpira kwa kipa (wanarudi kijijini), mijini hakukaliki, kila siku afadhali ya jana!

Biashara haziendi, mikopo hailipiki madeni kila kona, stress tupu. Hivi kwa hali hii nguvu za kiume zinatoka wapi? Usiku usingizi hauji ni kuwaza tu, hata hamu ya kula Chakula cha usiku" utaitoa wapi? Barabarani unapishana na mtu anaongea peke yake.

Hebu tupeane mbinu wakuu, wale wanaokesha kitambaa cheupe na kule bandarini kila siku meli zinaleta magari wanafanyaje? Yaani kama adhabu kumbe ndio maisha yenyewe.
Hakuna maisha ya
Jamani huko mliko nyie wenzangu vipi? Huku naona kama kipa katoka, ngoma ngumu sana! Ile milo mitatu kwa siku imekua kwa mbinde sana, hebu fikiria yale mahitaji muhimu ya mwanadamu bado kwetu ni tatizo.

Hatuli vizuri, hatuvai vizuri, na mbaya zaidi hatulali pazuri. Kuna kundi kubwa la watu wanarudisha mpira kwa kipa (wanarudi kijijini), mijini hakukaliki, kila siku afadhali ya jana!

Biashara haziendi, mikopo hailipiki madeni kila kona, stress tupu. Hivi kwa hali hii nguvu za kiume zinatoka wapi? Usiku usingizi hauji ni kuwaza tu, hata hamu ya kula Chakula cha usiku" utaitoa wapi? Barabarani unapishana na mtu anaongea peke yake.

Hebu tupeane mbinu wakuu, wale wanaokesha kitambaa cheupe na kule bandarini kila siku meli zinaleta magari wanafanyaje? Yaani kama adhabu kumbe ndio maisha yenyewe.
Hakuna maisha ya mchezo mchezo nenda popote duniani utakuta kila mahali pana ugumu wa maisha
 
tatizo la ugumu wa misha hii nimisingii ambayo haiko sawaa tizama nchin zilizo endelea mtu wa khari ya chini anamiliki boda 2mbili tatu huku kwetu hata pakulala hana,nchi zilizo endelea kwanza ongozi unaimarisha huduma muhimu za kijamii ikiwemo ajira kwa wale walio soma na wasio naelimu ,umeme,nchi nzima maji,nchi nzima ndo wimbi la umasikin linapotezwa hivo [emoji848] huku kwetu hadi leo umeme kuna maeneo hakuna maji hakuna je wananchi watapata maish linii[emoji120]
 
Hata huku kwetu Kenya vyuma vimekaza Sana wakuu, ila tuendelee kupambana tu maana hatuna jinsi.
 
Hela inatosha kula mmoja tu.....nyie ndio mnapanga mnakula muda Gani........

Hakuna tena furaha kwenye familia na jamii kwa ujumla............

Chakula kimekuwa anasa, ukionekana unakula watu wanakushangaa........

Ukiandaa sherehe labda ufunge milango ndio ule na wageni maana watu watajaa wengine hata uwajui......

Watu wanaenda waongea peke Yao kama vichaa barabarani.........

Watu wamejaa hasira muda wote wapo siriaz kama wapo kwenye mafunzo ya kijeshi.......

Sura za watu zimekaa kishari Shari tu.......mtu ukimtazama mara mbili anakushushia tusi mpaka unashangaa...... kwenye dala dala mtu ukimwambia sogea kidogo tukae vizuri anaanza na tusi alafu ndio anakujibu...........

Sherehe za basdei zimepungua sana kama sio kuisha kabisa.....

Baba wa familia hata shikamoooo unaipata kwa mbinde......unawakuta wamenuna mpaka unakuwa mkali wewe Juma Hebu amkia........

Kwa kweli hii hali ikiendelea hivi tutamjua mwanaume maana imefikia hatua mtu ukifanikiwa kula Milo mitatu unajipongeza.........
Huko unakoishi ww ni wapi sioni uhalisia wa unachokisema zaidi ya nadharia,huku nilipo sijawahi kumwambia mtu kwenye Daladala sogea kidogo akanitukana
 
We si mzinzi uliyekuwa unajinadi kuwa wanaume wapole muwaogope sijui anatawanya tako moja kule jingine kule sijui anakuhemesha komaaa na malipo ya uzinxi wako [emoji491]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom