Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
Wanafedhehesha sana watuAiseeeeh....!
Mambo yenu si yabaki kuwa siri huko huko rafiki au unaonaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafedhehesha sana watuAiseeeeh....!
Mambo yenu si yabaki kuwa siri huko huko rafiki au unaonaje?
Inakera sana mama.Wanafedhehesha sana watu
Mwanamke hawezi kufanya umalaya kwa sababu ya njaa, ni kwa sababu ya kukosa utoshelevu kwenye mahusiano yao. Mwanamke ni mvumilivu kuliko mwanaume.unakuta mtu ilikuwa umezoea kitonga unakula batamjini unapewa lakitano naushee za birthday navitu vingine
ghafla yule anaekupa hivyo vitu anatekwa nawanaokuonea wivu unaamua kuvunja mahusiano waleweziwako wanajibebisha wamdake jamáa
jamaa anawapitia na kuambukizwa gono anaamua kutemana nao[emoji1787]
uliezoea dezo maisha yanakuwia magumu kwani unaishi uswekeni mjini unapaona kwenye tv tuu.siunajuatena ukiishi nawanajeshi unapelekwa kijeshijeshi hamna kudekezwa no bata shule nyumbani shule nyumbani[emoji16]
unamisi batalamjini unaamua kuludisha majeshi kwamwamba anaejua kutojali akiamua kufanya jambolake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani utahangaika wewe yeye walahanahabari.mamboyako anakuachia mwenyewe
najua yotehayo nikwasababu yamaishamagumu.ndio imepelekea kurudisha majeshi ila wewe nimke wamtu umalaya uafanya kwaajili yanjaa siovizuri fanyakazi halali
sasawatoto unaowafunza unawafunza nini?umalaya au? unawafunza maisha yakiwa magumu warudi kwamax?
halafu ulivyo mjinga badala yakufanya kimyakimya wewe unatusanua unaona unatukomoa au?achaujinga mtelibani atakupindua tena ngoja asikie hizi habari uone.
sema unataget nzuri mnoo umetega kipindi chasikukuu ndio umelifufua penzi.wajanja tunajua umefata hela yasikukuu mjeda njaakali
sema mamboyako nakuacha mwenyewe.nilikuja pm kukutongoza ukanigomea.[emoji16][emoji16]
UKiona unatumia nguvu kubwa sana kulazimisha mtu asijitambue, wewe mtumia nguvu kubwa ndio mwenye shida. Halafu bado wewe ni mdogo sana unajiingiza kwenye ligi za kaka zako ambao akili zao zimeshaharibika yangu macho tu utakuwa kama waleee maana inaonyesha unatamaa sana dogoUnatukana Nini sasa unatafuta banned???
Wewe kwani vipi sikuelewi mara unitag kwani shida yako ni Nini mbona unanitukana na kunikosoa sana mara uniambie mie genta wewe unataka Nini hasa yaani mie sikujui usifosi kujuana sawa ya Nini uniite dogo wakati mie mtu mzima mbona hauna adabu ndo ulivyo fundishwa kudharau Kila mtu ambae ni unknownUKiona unatumia nguvu kubwa sana kulazimisha mtu asijitambue, wewe mtumia nguvu kubwa ndio mwenye shida. Halafu bado wewe ni mdogo sana unajiingiza kwenye ligi za kaka zako ambao akili zao zimeshaharibika yangu macho tu utakuwa kama waleee maana inaonyesha unatamaa sana dogo
Kuanzia Leo iwe mwanzo mwisho kunitag hapa jamiiforums usifosi mazoea nami sikujui hunijui sawa na ukiendelea kunitukana na kunidhalilisha ntakuchukulia hatua stahikiUKiona unatumia nguvu kubwa sana kulazimisha mtu asijitambue, wewe mtumia nguvu kubwa ndio mwenye shida. Halafu bado wewe ni mdogo sana unajiingiza kwenye ligi za kaka zako ambao akili zao zimeshaharibika yangu macho tu utakuwa kama waleee maana inaonyesha unatamaa sana dogo
Nimekufuatilia muda mrefu, hebu tulia rafiki yangu.Kuanzia Leo iwe mwanzo mwisho kunitag hapa jamiiforums usifosi mazoea nami sikujui hunijui sawa na ukiendelea kunitukana na kunidhalilisha ntakuchukulia hatua stahiki
Asante sana dada yanguNimekufuatilia muda mrefu, hebu tulia rafiki yangu.
Huyu mtu usimjibu tena, imetosha.
Acha kufuatafuata watu mtoto wewe. Kati ya mimi na wewe nani kaanza?Kuanzia Leo iwe mwanzo mwisho kunitag hapa jamiiforums usifosi mazoea nami sikujui hunijui sawa na ukiendelea kunitukana na kunidhalilisha ntakuchukulia hatua stahiki