Maisha magumu

Achana nao bhna kwani si ulitoka mwenye tumbo. Au mpo mapacha
 
Yaani wao wanataka uwanunulie vijora
 
Mkuu itakua unakaa stoo wewe๐Ÿ˜‚
 
Aaaah acha tuu mkuu...
Yaani sometimes unapata mpaka maneno ya ajabu ajabu ila ndo ujui tena utafanyaje.

Hvi ilete mtu apajue kwako ili akatangaze๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mimi hua mawambia mazingira ninayokaa bado hayako vizuri yakiwa poa nitawaita coz ndugu wengine wachawi tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ