Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Ongeeni weeee,Mara alimpenda sijui nn
Ukweli utabaki pale pale,huwezi kuishi na mtu mzima vile ukasema unampenda ni uongo %100 ,alifuata pesa!unafikiri kuishi na mzee kazi rahisi?uliza uambiwe!
Kuna wazee wangapi wasio na wake? Mbona hakuna anaewashobokea?tusidanganyane!
Pesa achume na mkewe,wame hangaika mtu ki rahisi tu eti anakuja kuchukua share50% ,tupo hapa,tutayaona! Mungu ni wa haki, Hii comment nitaifukua siku ya siku.
Ukweli utabaki pale pale,huwezi kuishi na mtu mzima vile ukasema unampenda ni uongo %100 ,alifuata pesa!unafikiri kuishi na mzee kazi rahisi?uliza uambiwe!
Kuna wazee wangapi wasio na wake? Mbona hakuna anaewashobokea?tusidanganyane!
Pesa achume na mkewe,wame hangaika mtu ki rahisi tu eti anakuja kuchukua share50% ,tupo hapa,tutayaona! Mungu ni wa haki, Hii comment nitaifukua siku ya siku.