Asante sana mkuuPaka akiwa mnene=Paka wa kizungu
Paka akikondeana mchafu=paka wa kiswahili
Mbwa akiwa na manyoya mazuri-mbwa wa kizungu
Mbwa akiwa mbaya-mbwa wa kiswahili
Mtu akiwa smart,tabia nzr -jamaa mzungu yule hana uswahili kabisa
Mtu mwenye tabia mbovu -ana mambo ya kiswahili Swahili
Mtu akiongea kiingereza-anaonekana smart,ana akili
Mtu akiongea lugha mama-anaonekana hajui,mshamba nk
Kitu chochote kibaya kinapewa jina la uswahili,kitu kizuri kinapewa uzungu
Inferiority complex
Wakome Waswahili, Waswahili ndiyo waliokupa lugha unayoiongea leo.
Mbona huongei kikwenu.
Shikamoo bibi.
Wewe ni mswahili wa wapi.
Hahahahaaaaaaaaa ALIKIBA mkubwa sana kimuziki levo yake ni belle 9 tu.Hivi haka ka jamaa mbona kaswahili sana,,Au hapo alipofika kimafanikio bado tu aamini. Anaongea pumba tu cloudz FM anatoa povu povu tu.
Et Tuanze show mkali nani ....mi najua we Alikiba haumuwezi hata mkianzisha hako ka Tour...Ommy eeehh muonesha kama we ni kidume anaza kumkanyaga yule naniii wake....M.k.u.le
Tandale zaid brohTandale-uswazi. (Simbaaa)
Kariakoo-uswazi (kiba-den)
Wote waswazi tu c
Mswahiliiiiii mtandale hahahaaaHivi kwann akiongea diamond mnaita uswahili, ichoicho akiongea dimpoz au kiba hamsemi, Leo dimpoz kapost uswahili mtupu tangu post ya ujanjaujanja na saiv kapost ya wema uswahili mtupu mmeona ya diamond2, mamaaer nyie
Hata KENYA nje ya nchi bw Tofali usihadaike Hahahaaaa.Wanatamani kam afe leo.....
Na iikitokea katoweka duniani..he will still be diamond hata makumbusho sanamu lake litawekwa cz ndio msanii pekee aloitambulisha tz nje ya nchi...hao matako waende zao
Ww mwenye PhD una maisha gani?Kalisomaga hadi form four kakafeli sema kana music wa kijanja janja..
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Nisingefaulu kidato cha IV jambo ambalo wewe lilikushinda!!!
Inferiority Complex ni kitu kibaya sana,kwa hiyo unajifariji kwa kujiita BigDick,whereas its opposite the caseHata KENYA nje ya nchi bw Tofali usihadaike Hahahaaaa.
Yanini jamaa anaongea mambo ya hovyo hovyo..sijui huyu diamond kaishia darasa la ngapi
Wote waswazi kuanzia huyo unaemkubali hadi huyo unaemchukia...usitake egemea pande moja kisa mahaba...wabongo wengi waswahili
Master's hata kuandika Kiswahili hujui...
By the way, hata kama una PhD haifuti ukweli kwamba umeajiriwa kwa cheti feki na ndio maana una stress! But all in all, Is it coincidence hiyo post hapo juu umefichua siri ya kutumia cheti fake mwaka 2010 na hatimae:
Tu-assume kwamba, mwaka 2011/2012 ulianza Form V kwahiyo ulimaliza VI kwa kutumia cheti feki 2013. Again, uongozi unakuacha tu usitumikie ajira yako bali uendelee kusoma na kwahiyo 2013/2014 Ukaanza First Year chuo Kikuu! Yaani mara hii una Master's? Jibu hapana, HAIWEZEKANI na kinachowezekana ni hiki hapa ambacho umeshakisema wewe mwenyewe:Halafu acha fix bhana... ushindwe kufaulu vizuri Form IV wakati unashinda darasani halafu uje kufaulu vizuri Form VI wakati unasoma kwa kuunga unga!!!