Maisha ndo haya haya, tuache majivuno

Dada kama hujaolewa mie nipo tayari kutoa ngombe 30 nikuwowe
 
Nakuja inbox mamilooo
 
Lazima atakuwepo umu na ujumbe atakua ameupata
 
kuna mwamba alikua na maokoto akatesa sana manzi aliekua anaish nae mixa kumuingiza kwenye madeni ya vicoba alipie starehe zake na pisi zake mjini lilivokua fala kumbe lime resign kazi likahama na mkoa kimyakimya likamuacha dada watu anadaiwa kodi ya nyumba vikoba nk kufika dar likadhulumiwa kila kitu na kadhi lili resign kwa mbwembwe ikabidi lirudi kwa wazaz hata nauli ya kwenda town hakuna full kuwakwepa wana maana wanajua alivyokua akimtenda dada wa watu enz za masubaru saiv mia saba ya eicher mtihani.
halafu yule mwanamke kule mkoani kajipata na biashara zake hana maden tena kama zaman
 
Umeandika kitu kikubwa sana , huyu dada kafurahi sana ndio maana kapata nguvu za kuandika huku, huyo mwamba ni fighter atasimama tena, sipendi anguko la yeyote hata adui yangu
Sasa adui anakuwaje a
Wee demu mnafki tu unaona raha mchizi kushuka kimaisha afu eti unasema Mwanga wa Mungu umuangazie.

Skia huyo mchizi mpe muda Tu utafrahi na shoo.
oya mbona mnalazimisha Manzi kufurahi? Kuna mahali amesema kafurahi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…