Anaweza asisimame milile daimaMungu anakuzoom.
Once a stable always stable.
Hizo dhiki za muda tu atasimama zaidi ya awali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza asisimame milile daimaMungu anakuzoom.
Once a stable always stable.
Hizo dhiki za muda tu atasimama zaidi ya awali
Mnapenda kujifariji sana mkiwa mnakamataga 500k take home kila mwezi kabla ya kuisha.Mungu anakuzoom.
Once a stable always stable.
Hizo dhiki za muda tu atasimama zaidi ya awali
Vipi wee umefurahi anguko la mwana?Sasa adui anakuwaje a
oya mbona mnalazimisha Manzi kufurahi? Kuna mahali amesema kafurahi?
Uzi ufungweUlipatwa bado una nguvu ya kumfatilia? Akirudi na Kei unampa wewe usijibaraguze hapa
Umeandika kinyume chakeUkiwa na tatizo utapewa pole Kwa muda mrefu, ukifanya vizuri pongezi wanazitoa Kwa muda mfupi sana hii falsafa unaielewa lakini au
Atajijua mwenyewe hata simjuiVipi wee umefurahi anguko la mwana?
😂 bado anampenda roby huyo ashindwi kumpa mtaji.Ulipatwa bado una nguvu ya kumfatilia? Akirudi na Kei unampa wewe usijibaraguze hapa
mambo yao wacha wakae nayo wenyewekwamba ni laana zake? Jamaa hakumpenda na yeye alishindwa kujiongeza mapema kwa sababu ya upofu wa mapenzi.
Bila shaka ni mjita.Bil
BilAshaka ni mtu wa kanda ya ziwa uyo
duh kazi unayo apo cha kukopi nini yaani akiki angu hii,,kama unataka partner msabato umenikosa.Sio wakae nayo we nae ata kucopy hujui, ni mambo yao waachie wenyewe. Msabato bhana 😅
yaani,, umenikosa,,sitakuja kua msabato wala kuja dodoma😆Akiki ndio nini we msabato?
miaka mi3 na hukumzalia mtotoLeo nimepokea kwa masikitiko habari za kufulia kwa mkaka niliyewahi kuwa nae kwenye uhusiano kwa muda wa miaka 3. Nasikia amefulia ameuza kila alichokuwa nacho amebaki na komwe lake tu. Huyu kaka alininyanyasa sana kipindi ana vijipesa mi nikiwa kajamba nani. Alininyanyasa kisaikolojia kuna baadhi ya vitu nikikumbuka hadi leo nakuwa mnyonge.
Kuna siku nilimnunulia zawadi akaniuliza bei ya zawadi nilivyomwambia bei yake akanijibu i dont use cheap things keep it for yourself 🥲
Siku anaachana na mimi akaniambia relationship yetu illkuwa just for fun nothing was serious and it wasnt even a relationship it was a situationship 🥲 Kumbuka hapo wakati anaongea haya tulikuwa pamoja kwa miaka 3. Halafu akaongeza nimekuwa nakuonesha signs zote za kutotaka kuendelea kuwa nawe lakini bado ukaendelea kuniganda. Naomba kuanzia leo usinitafute kwa namna yoyote ile its over!!
Katika maisha yangu yote hakuna kipindi moyo uliniuma kama siku ambayo alinitamkia maneno haya. Mungu si Athumani, sasa hivi amepigika maisha yanamnyoosha tu. Licha ya mambo yote aliyonifanyia nimesikitika sana. Mwanga wa Mungu umuangazie arudi katika hali yake ya zamani. Tuweni humble jamani maisha ndo haya haya tuache kudharau watu katika maisha haijalishi ni maisha ya kimapenzi au kikazi, hakuna mtu anayeijua kesho yake.
NB: Roby nitafute nikupe mchongo, mimi sina roho mbaya kama yako!
Narudia tena hunipati ng'ooo,,sio msabato wala sipo dodoma 😆Mbona kukukosa tena isije kuwa wewe ndio umenikosa😅
Happy to hear that 😊Fall again? Never ever! I have a healthy regard for my character, value and dignity! Kama alivyosema its over!
Nilimpendea komwe lakeCha kwanza ulipokuwa naye na anapesa komwe hukuliona? pili muombee mafanikio ana la kujifunza
Ulitaka nizae halafu niwe single mother?miaka mi3 na hukumzalia mtoto
kuna ubaya kuwa single mazaUlitaka nizae halafu niwe single mother?
Mbona sjawai bahatika kuchaniwa vyeti jamanHakuna mtu wa hovyo kama mwanamke akipata fursa sehemu au kazi ya maana, wakati nahangaika kuomba ajira secretary wengi sana walikuwa wanachana vyeti vyangu kwa sababu ya chuki...wanachana halafu wanatupa kwenye dustbin utasubili kupigiwa simu mpaka yesu anarudi
Mbona sjawai bahatika kuchaniwa vyeti jaman maana lazima BBC na CNN zihamie hapo kwa muda kwa ktu nitakachikifanya