Maisha ndo haya haya, tuache majivuno

Maisha ndo haya haya, tuache majivuno

Leo nimepokea kwa masikitiko habari za kufulia kwa mkaka niliyewahi kuwa nae kwenye uhusiano kwa mda wa miaka 3. Nasikia amefulia ameuza kila alichokua nacho amebaki na komwe lake tu. Huyu kaka alininyanyasa sana kipindi ana vijipesa mi nikiwa kajamba nani. Alininyanyasa kisaikolojia kuna baadhi ya vitu nikikumbuka hadi leo nakua mnyonge.

Kuna siku nilimnunulia zawadi akaniuliza bei ya zawadi nilivyomwambia bei yake akanijibu i dont use cheap things keep it for yourself 🥲

Siku anaachana na mimi akaniambia relationship yetu illkuwa just for fun nothing was serious and it wasnt even a relationship it was a situationship 🥲 kumbuka hapo wakati anaongea haya tulikuwa pamoja kwa miaka 3. Halafu akaongeza nimekua nakuonesha signs zote za kutotaka kuendelea kuwa nawe lakini bado ukaendelea kuniganda. Naomba kuanzia leo usinitafute kwa namna yoyote ile its over!!

Katika maisha yangu yote hakuna kipindi moyo uliniuma kama siku ambayo alinitamkia maneno haya. Mungu si asumani sasa ivi amepigika maisha yanamnyoosha tu. Licha ya mambo yote aliyonifanyia nimesikitika sana. Mwanga wa Mungu umuangazie arudi katika hali yake ya zamani. Tuweni humble jamani maisha ndo haya haya tuache kudharau watu katika maisha haijalishi ni maisha ya kimapenzi au kikazi , hakuna mtu anayeijua kesho yake.

NB: Roby nitafute nikupe mchongo mi sina roho mbaya kama yako!
Hapo kwenye kumpa mchongo umeupiga mwingi.....tahadhari inawezekana unataka ulipize Yan umnyooshe🤭
 
Leo nimepokea kwa masikitiko habari za kufulia kwa mkaka niliyewahi kuwa nae kwenye uhusiano kwa mda wa miaka 3. Nasikia amefulia ameuza kila alichokua nacho amebaki na komwe lake tu. Huyu kaka alininyanyasa sana kipindi ana vijipesa mi nikiwa kajamba nani. Alininyanyasa kisaikolojia kuna baadhi ya vitu nikikumbuka hadi leo nakua mnyonge.

Kuna siku nilimnunulia zawadi akaniuliza bei ya zawadi nilivyomwambia bei yake akanijibu i dont use cheap things keep it for yourself 🥲

Siku anaachana na mimi akaniambia relationship yetu illkuwa just for fun nothing was serious and it wasnt even a relationship it was a situationship 🥲 kumbuka hapo wakati anaongea haya tulikuwa pamoja kwa miaka 3. Halafu akaongeza nimekua nakuonesha signs zote za kutotaka kuendelea kuwa nawe lakini bado ukaendelea kuniganda. Naomba kuanzia leo usinitafute kwa namna yoyote ile its over!!

Katika maisha yangu yote hakuna kipindi moyo uliniuma kama siku ambayo alinitamkia maneno haya. Mungu si asumani sasa ivi amepigika maisha yanamnyoosha tu. Licha ya mambo yote aliyonifanyia nimesikitika sana. Mwanga wa Mungu umuangazie arudi katika hali yake ya zamani. Tuweni humble jamani maisha ndo haya haya tuache kudharau watu katika maisha haijalishi ni maisha ya kimapenzi au kikazi , hakuna mtu anayeijua kesho yake.

NB: Roby nitafute nikupe mchongo mi sina roho mbaya kama yako!
Nakuona unataka ku fall tena kwa huyo narcissist. Let him learn the lessons he is supposed to learn so he won't hurt someone else.
 
Leo nimepokea kwa masikitiko habari za kufulia kwa mkaka niliyewahi kuwa nae kwenye uhusiano kwa mda wa miaka 3. Nasikia amefulia ameuza kila alichokua nacho amebaki na komwe lake tu. Huyu kaka alininyanyasa sana kipindi ana vijipesa mi nikiwa kajamba nani. Alininyanyasa kisaikolojia kuna baadhi ya vitu nikikumbuka hadi leo nakua mnyonge.

Kuna siku nilimnunulia zawadi akaniuliza bei ya zawadi nilivyomwambia bei yake akanijibu i dont use cheap things keep it for yourself 🥲

Siku anaachana na mimi akaniambia relationship yetu illkuwa just for fun nothing was serious and it wasnt even a relationship it was a situationship 🥲 kumbuka hapo wakati anaongea haya tulikuwa pamoja kwa miaka 3. Halafu akaongeza nimekua nakuonesha signs zote za kutotaka kuendelea kuwa nawe lakini bado ukaendelea kuniganda. Naomba kuanzia leo usinitafute kwa namna yoyote ile its over!!

Katika maisha yangu yote hakuna kipindi moyo uliniuma kama siku ambayo alinitamkia maneno haya. Mungu si asumani sasa ivi amepigika maisha yanamnyoosha tu. Licha ya mambo yote aliyonifanyia nimesikitika sana. Mwanga wa Mungu umuangazie arudi katika hali yake ya zamani. Tuweni humble jamani maisha ndo haya haya tuache kudharau watu katika maisha haijalishi ni maisha ya kimapenzi au kikazi , hakuna mtu anayeijua kesho yake.

NB: Roby nitafute nikupe mchongo mi sina roho mbaya kama yako!
Sawa ujumbe umefika lakini isiwe sababu ya kuombea na mabaya. Kuna mwamba ni tajiri mkubwa lakini ana roho mbaya hatari na ni tajiri toka enzi za Mwinyi mpaka leo.
 
Nilimpenda kwa dhati ndo mana nikavumilia dharau zake kwa miaka 3.
Sawa it's called a "Move on" kama hisia zimeshakata juu yake msahau kabisa au abaki kama rafiki ili uishi kwa amani. Keep talking negative about him implies that you still have some grudges over him.
Dunia ni kubwa na ina mambo mengi sana especially kwenye ulimwengu wa kimapenzi. Itategemea wewe upo tayari kuishi katika mambo gani miongoni mwa hayo mambo mengi. Karibu 🤝
 
Leo nimepokea kwa masikitiko habari za kufulia kwa mkaka niliyewahi kuwa nae kwenye uhusiano kwa mda wa miaka 3. Nasikia amefulia ameuza kila alichokua nacho amebaki na komwe lake tu. Huyu kaka alininyanyasa sana kipindi ana vijipesa mi nikiwa kajamba nani. Alininyanyasa kisaikolojia kuna baadhi ya vitu nikikumbuka hadi leo nakua mnyonge.

Kuna siku nilimnunulia zawadi akaniuliza bei ya zawadi nilivyomwambia bei yake akanijibu i dont use cheap things keep it for yourself 🥲

Siku anaachana na mimi akaniambia relationship yetu illkuwa just for fun nothing was serious and it wasnt even a relationship it was a situationship 🥲 kumbuka hapo wakati anaongea haya tulikuwa pamoja kwa miaka 3. Halafu akaongeza nimekua nakuonesha signs zote za kutotaka kuendelea kuwa nawe lakini bado ukaendelea kuniganda. Naomba kuanzia leo usinitafute kwa namna yoyote ile its over!!

Katika maisha yangu yote hakuna kipindi moyo uliniuma kama siku ambayo alinitamkia maneno haya. Mungu si asumani sasa ivi amepigika maisha yanamnyoosha tu. Licha ya mambo yote aliyonifanyia nimesikitika sana. Mwanga wa Mungu umuangazie arudi katika hali yake ya zamani. Tuweni humble jamani maisha ndo haya haya tuache kudharau watu katika maisha haijalishi ni maisha ya kimapenzi au kikazi , hakuna mtu anayeijua kesho yake.

NB: Roby nitafute nikupe mchongo mi sina roho mbaya kama yako!
Safi mdada,Kisasi si juu yetu,tumwachie Mungu.
 
Back
Top Bottom