Maisha ndo haya haya, tuache majivuno

Maisha ndo haya haya, tuache majivuno

Leo nimepokea kwa masikitiko habari za kufulia kwa mkaka niliyewahi kuwa nae kwenye uhusiano kwa muda wa miaka 3. Nasikia amefulia ameuza kila alichokuwa nacho amebaki na komwe lake tu. Huyu kaka alininyanyasa sana kipindi ana vijipesa mi nikiwa kajamba nani. Alininyanyasa kisaikolojia kuna baadhi ya vitu nikikumbuka hadi leo nakuwa mnyonge.

Kuna siku nilimnunulia zawadi akaniuliza bei ya zawadi nilivyomwambia bei yake akanijibu i dont use cheap things keep it for yourself 🥲

Siku anaachana na mimi akaniambia relationship yetu illkuwa just for fun nothing was serious and it wasnt even a relationship it was a situationship 🥲 Kumbuka hapo wakati anaongea haya tulikuwa pamoja kwa miaka 3. Halafu akaongeza nimekuwa nakuonesha signs zote za kutotaka kuendelea kuwa nawe lakini bado ukaendelea kuniganda. Naomba kuanzia leo usinitafute kwa namna yoyote ile its over!!

Katika maisha yangu yote hakuna kipindi moyo uliniuma kama siku ambayo alinitamkia maneno haya. Mungu si Athumani, sasa hivi amepigika maisha yanamnyoosha tu. Licha ya mambo yote aliyonifanyia nimesikitika sana. Mwanga wa Mungu umuangazie arudi katika hali yake ya zamani. Tuweni humble jamani maisha ndo haya haya tuache kudharau watu katika maisha haijalishi ni maisha ya kimapenzi au kikazi, hakuna mtu anayeijua kesho yake.

NB: Roby nitafute nikupe mchongo, mimi sina roho mbaya kama yako!
Pamoja na yote Roby ana nafasi kubwa sana hapo moyoni na ana nafasi ya kukutumia tena kama daraja kabla hajafanikiwa na kukudampu ili aendelee na life yake
Kama ataona hii fursa atakuwa amepatia sana
 
Leo nimepokea kwa masikitiko habari za kufulia kwa mkaka niliyewahi kuwa nae kwenye uhusiano kwa muda wa miaka 3. Nasikia amefulia ameuza kila alichokuwa nacho amebaki na komwe lake tu. Huyu kaka alininyanyasa sana kipindi ana vijipesa mi nikiwa kajamba nani. Alininyanyasa kisaikolojia kuna baadhi ya vitu nikikumbuka hadi leo nakuwa mnyonge.

Kuna siku nilimnunulia zawadi akaniuliza bei ya zawadi nilivyomwambia bei yake akanijibu i dont use cheap things keep it for yourself 🥲

Siku anaachana na mimi akaniambia relationship yetu illkuwa just for fun nothing was serious and it wasnt even a relationship it was a situationship 🥲 Kumbuka hapo wakati anaongea haya tulikuwa pamoja kwa miaka 3. Halafu akaongeza nimekuwa nakuonesha signs zote za kutotaka kuendelea kuwa nawe lakini bado ukaendelea kuniganda. Naomba kuanzia leo usinitafute kwa namna yoyote ile its over!!

Katika maisha yangu yote hakuna kipindi moyo uliniuma kama siku ambayo alinitamkia maneno haya. Mungu si Athumani, sasa hivi amepigika maisha yanamnyoosha tu. Licha ya mambo yote aliyonifanyia nimesikitika sana. Mwanga wa Mungu umuangazie arudi katika hali yake ya zamani. Tuweni humble jamani maisha ndo haya haya tuache kudharau watu katika maisha haijalishi ni maisha ya kimapenzi au kikazi, hakuna mtu anayeijua kesho yake.

NB: Roby nitafute nikupe mchongo, mimi sina roho mbaya kama yako!
mhn!
jaribu kumtafuta ikiwezekana mtoe kwa nyama choma kisha ongea naye polepole.
onyesha njia ya kumsamehe kisha kuwa naye katika changamoto zake.
ikiwezekana mweleze pia katika mafanikio yako unathamini mchango wake kwakuwa alipokudharau alikusaidia kwa wewe kufanya kazi na kutafuta kwa bidii hivyo upo mchango wake kwa mafanikio yako hata kama hauonekani moja kwa moja.
mwambie uko tayari kumsaidia kwa kile unachofikiri unaweza kama atakuwa tayari kwa kuwa bado anasehemu yako katika moyo wako! japo inawezekana haiwezi kuwa kama mwanzo ila mnaweza kufanya kwa umbali fulani ambao hauwezi kuzidi mbio za sakafuni kwakuwa unayo pia sehemu ya uchungu juu yake!
 
Leo nimepokea kwa masikitiko habari za kufulia kwa mkaka niliyewahi kuwa nae kwenye uhusiano kwa muda wa miaka 3. Nasikia amefulia ameuza kila alichokuwa nacho amebaki na komwe lake tu. Huyu kaka alininyanyasa sana kipindi ana vijipesa mi nikiwa kajamba nani. Alininyanyasa kisaikolojia kuna baadhi ya vitu nikikumbuka hadi leo nakuwa mnyonge.

Kuna siku nilimnunulia zawadi akaniuliza bei ya zawadi nilivyomwambia bei yake akanijibu i dont use cheap things keep it for yourself 🥲

Siku anaachana na mimi akaniambia relationship yetu illkuwa just for fun nothing was serious and it wasnt even a relationship it was a situationship 🥲 Kumbuka hapo wakati anaongea haya tulikuwa pamoja kwa miaka 3. Halafu akaongeza nimekuwa nakuonesha signs zote za kutotaka kuendelea kuwa nawe lakini bado ukaendelea kuniganda. Naomba kuanzia leo usinitafute kwa namna yoyote ile its over!!

Katika maisha yangu yote hakuna kipindi moyo uliniuma kama siku ambayo alinitamkia maneno haya. Mungu si Athumani, sasa hivi amepigika maisha yanamnyoosha tu. Licha ya mambo yote aliyonifanyia nimesikitika sana. Mwanga wa Mungu umuangazie arudi katika hali yake ya zamani. Tuweni humble jamani maisha ndo haya haya tuache kudharau watu katika maisha haijalishi ni maisha ya kimapenzi au kikazi, hakuna mtu anayeijua kesho yake.

NB: Roby nitafute nikupe mchongo, mimi sina roho mbaya kama yako!
Bado unampenda wewe.Mtafute mwana myajenge
 
mfano ungepewa taarifa kuwa amenunua mabasi au anajenga ghorofa

sometimes tuchukulie poa ,unadhani kwa kipind ulichokuw nae hakuwah kuwa moja ya furaha yako???

halafu sisi wanawake ndo tunaishiwa,mwanaume hajawah kuishiwa anakwama tu,mwanaume ni kichwa cha dunia labda aamue kuwa mjinga mjinga
 
Mwanaume aliehai hachekwi kisa Hana pesa kwawakati huo maana siku na saa yoyote anatusua. Kunamwamba anapesa aliwahi niambia Nzagambaa Mimi naweza kuhonga Mali zangu zote,lakini Baada ya miaaka miwili nishapata zingine za kutosha njia ya kuzitafuta naifahamu.
 
Huyo mwamba ni tajiri mkubwa anaishi Mikocheni ana Maghorofa Masaki,Mbezi beach,Kariakoo na Kawe lakini hivi ninavyoongea mke wake iPhone yake imeharibika hapatikani WhatsApp,anatumia kitochi. Mke ni mama wa nyumbani na Mwamba amevunga hana habari ,Aisee mwamba ni katili hatari.
Daa labda mke wake anatombesha sana Whatsapp ndomana kapigwa ban
 
Leo nimepokea kwa masikitiko habari za kufulia kwa mkaka niliyewahi kuwa nae kwenye uhusiano kwa muda wa miaka 3. Nasikia amefulia ameuza kila alichokuwa nacho amebaki na komwe lake tu. Huyu kaka alininyanyasa sana kipindi ana vijipesa mi nikiwa kajamba nani. Alininyanyasa kisaikolojia kuna baadhi ya vitu nikikumbuka hadi leo nakuwa mnyonge.

Kuna siku nilimnunulia zawadi akaniuliza bei ya zawadi nilivyomwambia bei yake akanijibu i dont use cheap things keep it for yourself 🥲

Siku anaachana na mimi akaniambia relationship yetu illkuwa just for fun nothing was serious and it wasnt even a relationship it was a situationship 🥲 Kumbuka hapo wakati anaongea haya tulikuwa pamoja kwa miaka 3. Halafu akaongeza nimekuwa nakuonesha signs zote za kutotaka kuendelea kuwa nawe lakini bado ukaendelea kuniganda. Naomba kuanzia leo usinitafute kwa namna yoyote ile its over!!

Katika maisha yangu yote hakuna kipindi moyo uliniuma kama siku ambayo alinitamkia maneno haya. Mungu si Athumani, sasa hivi amepigika maisha yanamnyoosha tu. Licha ya mambo yote aliyonifanyia nimesikitika sana. Mwanga wa Mungu umuangazie arudi katika hali yake ya zamani. Tuweni humble jamani maisha ndo haya haya tuache kudharau watu katika maisha haijalishi ni maisha ya kimapenzi au kikazi, hakuna mtu anayeijua kesho yake.

NB: Roby nitafute nikupe mchongo, mimi sina roho mbaya kama yako!
Mbona kama vile bado unampenda
 
Back
Top Bottom