Maisha ni kuzaliwa, kusoma, kupata kazi, kuoa/kuolewa, kupata watoto kisha yanaishia hapo au kuna kingine?

Yes.. hapo umeongea mamii
 
Asante mkuu
 
Wengine wanapiga michepuko, wanafumaniwa, wanaenda kupigana vita huko Ukraine, wanakaa bar, wanapigwa chupa, wanafanya biashara, wanafilisika, wanaanza upya, wanatembea kila kona ya dunia, wanakua magaidi, wanaenda jela, wanafanya siasa, yaani mambo ni mengi muda ni mchache.
 
Umesahau Kufumaniwa
 
Ndio maana Yesu aliona aje ili kufanya Life-Endless Extension.
 
Maisha ni kuzaliwa, kubarehe na kufa.

kama kuna maisha baada ya kufa hili tutalijua huko huko.
 
Chagua unavyotaka wewe jamii itakubaliana na maamuzi yako na isipokubaliana pia sio shida yako.
Kuna vingne ni vigum ndugu yangu.. acha tu.. for example mi napenda kuwa rasta.. ila siwez sabab job haiwezekan.. home pia hawatonielewa.. pia mfano mi ni christian ila napenda kuwa na wake wawil.... You see what am sayin?
 
You see.. thats life..
 
Baada ya hapo ni kula bata kama kipato kinaruhusu na kumuabudu Mungu.
 
The Alchemist by Paul Coelho kinaweza kuwa msaada kwako ..

Pia mastery cha Robert Greene.

Maisha ni namna unavyoridhika wewe kuishi.

Kama unavyoishi Hakuridhishi wala kuamanisha nafsi ipo namna ambayo unapaswa uishi tofauti na unavyoishi hivi sasa.

Mimi pia bado najitafuta mimi ni nani
 
Mimi nina imani na maisha baada ya kifo yaani kuna pepo na moto hakuna vingine isipokuwa mtu atalipwa kwa matendo yake ya hapa duniani.

Starehe za dunia za udanganyifu ;
#Mtu unapiga mitungi , bangi nk unakuja kuleta madhara kiafya baadae

#Unakuwa mtu watotozi unajivagaa unapata Ukimwi , magonjwa mengine ya zinaa , kufumaniwa , kubambikiwa watoto nk

#Unanunua gari kwa starehe linakuja kumaliza kwa ajali

#Tajiri bado unaishi kwa hofu hauna amani asimilia kubwa.Kuuliwa nje nje

#Duniani hakuna utulivu kabisa ukraine sasa wote tajiri na masikini mpk Raisi hawana amani.
 
Haya maisha hutakiwi kuyachukulia siriaz saana.. we fanya kile unachoweza kufanya ku survive maana hilo ndio lengo la kuwepo hapa duniani. Mengine ni nyongeza tu.
 
Sidhan.. mbona kubwa sana dunia
Mimi hua naona sisi binadamu hatuna tofauti na kuku waliofungiwa bandani. Unaishi kulingana na matakwa ya mfugaji, unakula unachopata, unahangaika kujipambania wewe na jamii yako, mwisho wa siku mwenye banda anakamata kuku ampendae na kumchinja, huku wengine mnabaki hamna pa kukimbilia wala cha kufanya mnasubiri zamu yenu 😪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…