Maisha ni mfano wa mashindano ukilielewa hili Jambo Basi utakuwa Mtu Bora Sana

Maisha ni mfano wa mashindano ukilielewa hili Jambo Basi utakuwa Mtu Bora Sana

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Maisha siku zote ni mfano wa Mashindano na sio kila anayeshiriki anahitaji Ubingwa au taji Kuna timu zinashiriki ili tu zisishuke Daraja. na hizi timu ndo nyingi Sana (WATU).

Hivyo Kama mtu una kusuduio lako unalohitaji kulitimiza hapa Duniani na kushinda taji hili Muhimu linaloitwa MAISHA basi , usiogope kuitwa BAHILI. Au kuchukuliwa poa na WATU for granted .

Mara nyingi Mtu anayekucheka shambani ndo huyo huyo atakuomba CHAKULA wakati wa njaa.
 
ubahili n muhmu kwa mustakabali wa kulinda uchumi wako
Aliwahi kuja dogo mmoja home kusubiria matokeo, baada ya mwezi anaomba nimsaidie kulipa ada ya chuo. Nikamchana hiyo ni ngumu. Kuna watu hawa wanashinda polini wakizalisha hivi unavyoviona hata wao wanahitaji hiyo sapoti iwarudie. Ni vyema mkauze mashamba mpate ada
 
Maisha siku zote ni mfano wa Mashindano na sio kila anayeshiriki anahitaji Ubingwa au taji Kuna timu zinashiriki ili tu zisishuke Daraja. na hizi timu ndo nyingi Sana (WATU).

Hivyo Kama mtu mwenye purpose yako unayohitaji kuitimiza hapa Duniani na kushinda taji hili Muhimu linaloitwa MAISHA usiogope kuitwa BAHILI. Au kuchukuliwa poa for granted .

Mara nyingi Mtu anayekucheka shambani ndo huyo huyo atakuomba CHAKULA wakati wa njaa.

Stay positive .

By Hustle smarter.
[emoji2956]
 
Back
Top Bottom