Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Waswahili wa kukufuatilia unafanya kazi gani?!..., unakaa wapi?!.., na umeoa au hujaoa wanatoka wapi ukijikalia zako sehemu za wastaarabu?! Kijana ukijitambua mambo yakianza kutiki na uki-maintain hamia mbezi chini huko, kawe B, Msasani kule mbele au nenda zako Upanga kajichimbie.Ume Nena sahihi Kakaπππͺ
Juzi nili enda kununua nguo na Jamaa fulani wa mtaa wetu, Sasa hivi mtaa mzima una juaππ€£.Waswahili wa kukufuatilia unafanya kazi gani?!..., unakaa wapi?!.., na umeoa au hujaoa wanatoka wapi ukijikalia zako sehemu za wastaarabu?! Kijana ukijitambua mambi yakianza kutiki na uki-maintain hamia mbezi chini huko, kawe B, Msasani kule mbele au nenda zako Upanga kajichimbie.
Uswazi wanaanza kidogokidogo, mara vibomu, mara ukipita uwanunulie soda, mara uwachangie hiki mara kile, mara unaringa husalimii na vichuki vya hapa na pale...., mwisho ukiamka asubuhi una chale πππππΎ
π₯°π₯°Crush crush crush πππ€ππ
Ndo nini we crushππ€π₯°π₯°
Wewe nae hujui Upendo πππNdo nini we crushππ€
Tuwa ambie nini π€£ππ€π€Ebu waambie maana ata mimi sielew apa mapicha picha tu π€£π€£
Cc.komwe bichwa nataka nipindue meza kibabeπππLeo Nita otaπππ€£
View attachment 2768355
Mimi kila siku chakula cha mbu we unaniambia niamke alafu nifanyeje mkuuπ€£Mkuu kani yangu ni 24/7 mzee, mpaka meza ipindukee broπͺπͺ.
πAu wewe una net worth ya 200k USDπ
Mmmmh Muangalie usalama wa abiria piaCc.komwe bichwa nataka nipindue meza kibabeπππ
Dogo hawezi kukubali huyo ana baby mama wake humuπππππΏββοΈππΏββοΈMmmmh Muangalie usalama wa abiria pia
Kwa maana ujaona alichokiandika uyoπ₯±Tuwa ambie nini π€£ππ€π€
hivi huwa hauni elewi, Niki kuambia USI nitajie huyo mtu.Cc.komwe bichwa nataka nipindue meza kibabeπππ
Vp ww pia uko nae baba baby wakoπ₯±Dogo hawezi kukubali huyo ana baby mama wake humuπππππΏββοΈππΏββοΈ
Huyu manzi ana Akili mbovuππ€£π€£Mmmmh Muangalie usalama wa abiria pia
Sija ona π€ππ€£π€£Kwa maana ujaona alichokiandika uyoπ₯±
It's just u my crushππ€Dogo hawezi kukubali huyo ana baby mama wake humuπππππΏββοΈππΏββοΈ
Halafu Mbona Ume funga pm yakoππ€Kariakoo mda huu