Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #101
Yeah Ila langu mimi ni hazina ya maarifaπͺArsenal si ghala la bunduki mkuu
Nilipe niwe nakufurahisha, maana nastaafu jf soonπNafurahi ukiwa online hujui tu
Sawa mkuuNiko nanjilinjii mkuu π€, hata Poor Brain ana juaπ
Jamani kwanini??Nilipe niwe nakufurahisha, maana nastaafu jf soonπ
Mi jobless tuπSawa mkuu
Nime choka tuπJamani kwanini??
Hata mimi soon nistafu huu mwakaNime choka tuπ
Nitarudi December π,Hata mimi soon nistafu huu mwaka
Ndio bei ya usukan hiyoHizi dharauππ, hutaki mi niwe na hata ka usukaniπ
Mimi sirudi tenaNitarudi December π,
Sawa pia pambanaMi jobless tuπ
Nipe hata u house boy mkuuπSawa pia pambana
Let's keep grinding and aiming at our goals.Well said,noted!
Mi sijuiii...Niko nanjilinjii mkuu π€, hata Poor Brain ana juaπ
Maarifa sawa...Yeah Ila langu mimi ni hazina ya maarifaπͺ
Naigiza nini π€, mi mwananjilinji bwanaπMaarifa sawa...
Acha kuigiza sasa πππππ€
Niko nanjilinjii π, au njoo uone kunguru weMi sijuiii...
No prove kama upo huko nanji ππππ
Ushaelewa lakini...Naigiza nini π€, mi mwananjilinji bwanaπ