Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Muulize JoanaSija ona 🤔😀🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize JoanaSija ona 🤔😀🤣🤣
Kimeumana kugombania daladala mlangoni mara umekwapuliwa sim unakuja kushtuka upo ndani ya daladala unakua🤣🤣🤣Kariakoo mda huu
Joana ziko mbili humu ile mashine tata🤣Joannah eti Ume andika nini 😀🤔
Nimefunga sitaki na funguo nimetupaHalafu Mbona Ume funga pm yako😀🤔
We dogo ita kuwa dishi lako Lina yumba😀🤣🤔, huwa una andika vitu havi eleweki🤔Muulize Joana
🤣🤣🤣Kwer humu hamna huruma ata kidogo,Nimefunga sitaki na funguo nimetupa
Sio vizuri ujue🤣🤔🤔Nimefunga sitaki na funguo nimetupa
No inawakaKimeumana kugombania daladala mlangoni mara umekwapuliwa sim unakuja kushtuka upo ndani ya daladala unakua🤣🤣🤣
Kaandika nini??Joana ziko mbili humu ile mashine tata🤣
😳😳😳🙄Kwakwer mimi bila kipunga upepo dish halisomagi kabisa kama Leo😂We dogo ita kuwa dishi lako Lina yumba😀🤣🤔, huwa una andika vitu havi eleweki🤔
Leo kweli dishi lako Lina kutu🤣😀🤔😳😳😳🙄Kwakwer mimi bila kipunga upepo dish halisomagi kabisa kama Leo😂
Heeeee kumbe sasa mnazimishaje CCM kazi Yao maana ata madaraka wamebeba waoNo inawaka
😂😂😂Leo kweli dishi lako Lina kutu🤣😀🤔
AME andika kipi???Joana ziko mbili humu ile mashine tata🤣
We nae una maswali ya kiwaki😁😁Vp ww pia uko nae baba baby wako🥱
Hahah mimi Sina kwakwer ndio natafuta😂apa ukute ni wwWe nae una maswali ya kiwaki😁😁
Usimwambie kitu... hama unapoishi haraka na namba za watu wasio na issue zi-block wasione contents zako muhimu kama WhatsApp stories n.k wala usizifute ila baki nazo wakikupigia simu usipokee na uwe na simu zaidi ya moja... namba za watu productive na nyingine za mahohehahe wenzangu wasioisha maneno, umbea na kufuatilia watu na visivyo na faida maishani mwao.Juzi nili enda kununua nguo na Jamaa fulani wa mtaa wetu, Sasa hivi mtaa mzima una jua😀🤣.
👉Mpaka Bei tuliyo nunulia aisee, namsubiri nimchane aache umama
Hajui SI ni mtu na crush wake😀🤣🤗We nae una maswali ya kiwaki😁😁
Nime kusoma hapo Kaka🙏🙏, Barikiwa Sana💪Usimwambie kitu... hama unapoishi haraka na namba za watu wasio na issue zi-block wasione contents zako muhimu kama WhatsApp stories n.k wala usizifute ila baki nazo wakikupigia simu usipokee na uwe na simu zaidi ya moja... namba za watu productive na nyingine za mahohehahe wenzangu wasioisha maneno, umbea na kufuatilia watu na visivyo na faida maishani mwao.