innocentmollel
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 1,702
- 748
Hivi hilo shindano linge andaliwa Kenya mbongo yeyote angeweza kubeba kweli!!? Nawaza tuu lakinMshindi wa maisha plus n mdada .jmn naomben kujua wanatumiaga vigezo gan kumpata mshindi maana naonaga wanakaaga porini tu mm.KWELI MAISHA HAYANA FOMULA MKENYA KAONDOKA NA M 30
Na kujipendekeza kusiko na sababuKumpa mkenya ni upuuuzi Period.
She deserves it jamani. Wabongo 2nafail hapa kny kulalamikaNa kujipendekeza kusiko na sababu
Wamenikera kishenzi yaan
Kenya waliandaa TPF hakuna mbongo aliyewahi gusa!!Andaa lako then mpe mbongo. Yaani wabongo tunapenda kupendelewa tu. Haya mashindano yanahitaji ujanja tu kushinda.
Ila nyie mkishinda huko nchi za watu wengine mbona mnajisifu mngeoenda na wao wawape watu wa kwao? Mmeshinda BBA Mara 2 but wasouth hawajalia kabisa.