kanyela mumo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,034
- 2,117
Wabongo ndio hatuna maana sasa wamempaje mkenya na wangempa mbongo hata angesukuma gurudum la maendeleo kwa kulipa kodi na kusiadia taifa!!
Na usawa wa magufuli huu wangekuwa wamefanya la maana
Huo ni ubinafsi wa hali ya juu..
Afrika ni moja ila mipaka na tawala zetu ndio zinazo tutenganisha brother.