SirChief
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 3,304
- 3,375
Afadhali useme wewe mkuu...me TZ mizembe sana,kulalamika tu na ubaguzi wa kipuuzi...Kura hayapigi kazi kutoa povu tuuKura hamjapiga mnalalamika humu kama mngekua mnafatilia kuanzia Mwanzo wakenya walijituma sana wao walikuja na ushindi akilini a the way waliishi walionekana kabisa wanasaka ushindi Watanzania maisha ya kuigiza yalikua yamezidi.