Halafu sasa kwenye post-modernism mobile smartphone somebody anasema I was kinda busy wala sija-check messages ama siku-pick up your callKweli miaka ile nakumbuka nikiwa mbeya unatuma hela kwa mzazi lazima uende posta utume hela kwa regista...
Why usiungane na Sky Eclat mkatuletea hii stori of change?Twende sasa dsm, ofisini, operator dada wa kipare, nyodo kama zote loooo.
But all in all maisha yalienda.
Rest well all I mentioned above.
Tunawaachia madogo kwanza, tumngojee Maxence Melo atuletee shindano la mahenga 🤣Why usiungane na Sky Eclat mkatuletea hii stori of change?
Hiyo niliitumia miaka hiyoooo, kaka alienda mafia akazamia huko mmh, hakuna njia hatukutumia ili kumtafuta,... kuna ile ya kutuma TELEGRAM; max. maneno 10 zaidi ya hapo unalipia every extra word. Sijui hii ndio equivalent na SMS siku hizi? Kuna binadamu wa sasa hawajui kabisa kama hii kitu iliwahi kuwepo wakati ni just a few years ago!
... ha ha ha! Registered mail; inakupa assurance itafika salama kwa sababu mnakuwa "mmeandikishana" na Posta na ni gharama kidogo.Kweli miaka ile nakumbuka nikiwa mbeya unatuma hela kwa mzazi lazima uende posta utume hela kwa regista...
... tumetoka mbali sana kwa kweli. Nilikuwa naendaga wilayani kuomba reverse call kwa operator ili nimjulishe ba' mkubwa natarajia kufika Dar es Salaam kwa treni baada ya miezi mitatu; wanipokee mwisho wa reli!Hiyo niliitumia miaka hiyoooo, kaka alienda mafia akazamia huko mmh, hakuna njia hatukutumia ili kumtafuta,
Hiyo ilikuwa inafikia polisi then ujumbe unaenda sijui wapi,
Maisha safari ndefu
... halafu kulikuwa na miaka fulani hivi wanafamilia walikuwa "wanapotea" sana! Yaani mtu akiondoka kijijini ameondoka hamtokaa mumwone tena ila mtakuwa mnasikiasikia sijui yuko wapi hadi wazazi wanafariki kaka mkubwa hajulikani alipo! Sijui kulikuwa na tatizo gani!Hiyo niliitumia miaka hiyoooo, kaka alienda mafia akazamia huko mmh, hakuna njia hatukutumia ili kumtafuta,
Hiyo ilikuwa inafikia polisi then ujumbe unaenda sijui wapi,
Maisha safari ndefu
Mambo hayakuwa mepesi, pamoja na operator kusaidia kumpata mzazi, hela zilienda zikakwama pale Marangu mtoni , yaani kuzitoa hapo hizo regista zifike ofisi ya kanisa ambapo ndo mzazi atasomwa jina kanisani ili akachukue bahasha ilikuwa mbinde... ha ha ha! Registered mail; inakupa assurance itafika salama kwa sababu mnakuwa "mmeandikishana" na Posta na ni gharama kidogo.
Ila zile za kubandika stempu ukadumbukiza kwenye box kuna mawili; inaweza kufika au isifike na ikifika kama ilikuwa na "kaunene" fulani lazima mpokeaji atakuta imechanwa wafanyakazi wa Posta "walichungulia" kuna nini! Kulikuwa na upumbavu sana! Thanks to technology!
Sema huyu kaka alipatikana ila kwa kumpa mtu nauli kwenda kumfuata, naona Ashura wa mafia alimficha 🤣🤣... halafu kulikuwa na miaka fulani hivi wanafamilia walikuwa "wanapotea" sana! Yaani mtu akiondoka kijijini ameondoka hamtokaa mumwone tena ila mtakuwa mnasikiasikia sijui yuko wapi hadi wazazi wanafariki kaka mkubwa hajulikani alipo! Sijui kulikuwa na tatizo gani!
Haka kaupumbavu wafanyakazi wa Posta wanako hadi leo... ha ha ha! Registered mail; inakupa assurance itafika salama kwa sababu mnakuwa "mmeandikishana" na Posta na ni gharama kidogo.
Ila zile za kubandika stempu ukadumbukiza kwenye box kuna mawili; inaweza kufika au isifike na ikifika kama ilikuwa na "kaunene" fulani lazima mpokeaji atakuta imechanwa wafanyakazi wa Posta "walichungulia" kuna nini! Kulikuwa na upumbavu sana! Thanks to technology!
... mavijana ya leo tena ukileta za kuleta yanaku-block; ha ha ha!Mambo hayakuwa mepesi, pamoja na operator kusaidia kumpata mzazi, hela zilienda zikakwama pale Marangu mtoni , yaani kuzitoa hapo hizo regista zifike ofisi ya kanisa ambapo ndo mzazi atasomwa jina kanisani ili akachukue bahasha ilikuwa mbinde
Wakati mwingine zilikusanyika hapo hata regista tano mpaka ukienda likizo unaitwa kuzifuatilia
But all in all tuliwapenda na kuwajali wazazi, sijui vijana wa leo
... wajinga kweli; unakata tawi ulilokalia? ndio maana Posta imekufa rasmi!Haka kaupumbavu wafanyakazi wa Posta wanako hadi leo