Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ninakumbuka zile enzi za kusubiri line, line ikipatikana unakuta namba iko engaged.
Sisi tuliokulia vijijini simu ilikua inaunganishwa na operator Wilayani. Zile familia maarufu hata habari walipata kutoka kwa operator.
Ilikua ni rahisi kumpata operator na kumpa taarifa za kifo, uzazi au harusi. Kujiweka vizuri na operator akija dukani kuna siku unampa sukari ya bure, wengine walitoa nyama ya bure na wengine walitoa kadi za harusi kwa operator. Alikua ni mtu wa mihimu sana Wilayani.
Ma operator walibeba siri nyingi, bahati nzuri hakukua na social media.
Sisi tuliokulia vijijini simu ilikua inaunganishwa na operator Wilayani. Zile familia maarufu hata habari walipata kutoka kwa operator.
Ilikua ni rahisi kumpata operator na kumpa taarifa za kifo, uzazi au harusi. Kujiweka vizuri na operator akija dukani kuna siku unampa sukari ya bure, wengine walitoa nyama ya bure na wengine walitoa kadi za harusi kwa operator. Alikua ni mtu wa mihimu sana Wilayani.
Ma operator walibeba siri nyingi, bahati nzuri hakukua na social media.