Copy
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 1,055
- 1,341
Niliikuta hii kwenye somo la kiswahili nikiwa secondary. Kumbe kweli ilikuwepo!... kuna ile ya kutuma TELEGRAM; max. maneno 10 zaidi ya hapo unalipia every extra word. Sijui hii ndio equivalent na SMS siku hizi? Kuna binadamu wa sasa hawajui kabisa kama hii kitu iliwahi kuwepo wakati ni just a few years ago!