Ebu tutajie maprofessor watatu wa ARU tukuaminiARU ,kule baadhi ya masomo hayana mtihani
Course work70% halafu mwisho wa semester kunakuwa na presentation mbele ya wakufunzi wanakuuliza maswali kadri unavyopatia ndivyo unapewa marks ambazo kwa ujumla zina contribute 30%
Haina shida kwa hapo chuo cha veta hata usipoudhuria mhula mzima utajaziwatu.Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia
Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .
Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa
Na kufeli hatufeli
Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82
Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
Marobhe,ngowi,muhondwaEbu tutajie maprofessor watatu wa ARU tukuamini
(70/100)*15= 10.5 t1or t2(70/100)*40= 28
Zingalikuwa ni fedha zako ungezitumia ovyo? Ref: Hamna kitu kinachokera duniani kama kuwa na shemeji ambaye masikini na hana msaada na weweAiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia
Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .
Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa
Na kufeli hatufeli
Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82
Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
chicken headZingalikuwa ni fedha zako ungezitumia ovyo? Ref: Hamna kitu kinachokera duniani kama kuwa na shemeji ambaye masikini na hana msaada na wewe
Unapenda vya bure mtoto wa kiume utaolewa!!!! Shauri yako, soma acha mbwembwe na misifa kama.....chicken head
Nani amekwambia.mimi maskini?
Kusema nataka shem ambaye at least hata laki moja ya soda haimpigi chenga nayo ni tatizo?
SawaUnapenda vya bure mtoto wa kiume utaolewa!!!! Shauri yako, soma acha mbwembwe na misifa kama.....
ah ah dogo hiyo pesa ya boom kama ya majini....we ilie goodtime af uje mtaani miaka mitatu huna kazi ka hujadata tunawaona wenzio wadaiwa sugu wanavyohahaSawa
certificate .......chuo cha matumaini bukobaChuo gani kina course work ya 70?
Naona bampa to bampa!!
Mkuu naomba usitutajie kozi yako maana itakua kichekesho tuAiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia
Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .
Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa
Na kufeli hatufeli
Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82
Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
Course work 70..!? Ni chuo cha udereva au?Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia
Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .
Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa
Na kufeli hatufeli
Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82
Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia