Maisha ya chuo raha kusoma mwisho alhamis ,ijumaa mpaka j pili tunakesha club

Maisha ya chuo raha kusoma mwisho alhamis ,ijumaa mpaka j pili tunakesha club

mpaka hapo ushafeli kama unajua chuo ni kwenda kusoma na kupata AA kwenye masomo,,pole sana
 
Nasikia watu wanasema unasoma chuo cha utalii
 
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia
Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .

Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa

Na kufeli hatufeli
Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82

Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
utakua unasomea usanii wewe elimu gani hiyo ndio maana magu anawatafuta sana ........ halafu utakua unasoma certificate ya IT mtihani unapewa what is computer
 
Wakati udsm jumamos na jumapili ndyo siku ngumu kwa wanafunzi waliowengi maana hizo siku mara nyingi huandamwa na test hivyo wengi huwa ni siku ambazo siyo za starehe kabisaa
 
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia
Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .

Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa

Na kufeli hatufeli
Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82

Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
we utakua mwaka wa kwanza....ntakusaka baada ya miaka minne nfahamu kama utakua unaendelea kubampa to bampa mtaani
 
Dah... Raha jipe mwenyewe [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Huyu dogo ajielewi kama anasoma na hela inakuwa excess si ajiajiri? Sasa unakaa hostel za chuo bei karibu bure, chakula mlo mmoja ni wa 1500,mawazo hayawezi kupanuka maana unaishi a fake and cheap life, in mean time utamaliza chuo utaanza kusota.... Hivi unadhani kula good time kwa hela inayoondoka bila replacement ni dili sana? Try the streets boy.... Soma vitabu ujue jins ya kuwekeza excess money kijana, kama ni chuo watu wamesoma sio wewe kipindi hiki cha digitali hata kisoma hamsomi vizuri mnazima tu moto... Wakina Grant cardone, Robert Kiyosaki, Masiyiwa na wengine wanavitabu vya maana vichwa maji kama nyie msome.
yap kwelii kabisaa mkuu...Masiyiwa kitabu ganii nikitafute..kiyosaki nimecheki cheki vitabu vyake..
 
ARU ,kule baadhi ya masomo hayana mtihani


Course work70% halafu mwisho wa semester kunakuwa na presentation mbele ya wakufunzi wanakuuliza maswali kadri unavyopatia ndivyo unapewa marks ambazo kwa ujumla zina contribute 30%
nimesoma ardhi kipindi hicho inaitwa UCLA's...cjawah kuona somo ambalo halina mitihani...
 
Mwanafunzi anayejielewa na mwenye malengo yake sidhani kama ataandika huu UPUUZI ulioandika hapa........."Eti Ijumaa hadi jumapili tunakesha club"...
 
kizazi cha Google
 

Attachments

  • respect-your-elders-they-made-it-through-school-without-google-or-wikipedia-322.png
    respect-your-elders-they-made-it-through-school-without-google-or-wikipedia-322.png
    15.5 KB · Views: 88
Back
Top Bottom