Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakua unasomea usanii wewe elimu gani hiyo ndio maana magu anawatafuta sana ........ halafu utakua unasoma certificate ya IT mtihani unapewa what is computerAiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia
Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .
Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa
Na kufeli hatufeli
Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82
Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
we utakua mwaka wa kwanza....ntakusaka baada ya miaka minne nfahamu kama utakua unaendelea kubampa to bampa mtaaniAiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia
Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .
Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa
Na kufeli hatufeli
Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82
Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
yap kwelii kabisaa mkuu...Masiyiwa kitabu ganii nikitafute..kiyosaki nimecheki cheki vitabu vyake..Huyu dogo ajielewi kama anasoma na hela inakuwa excess si ajiajiri? Sasa unakaa hostel za chuo bei karibu bure, chakula mlo mmoja ni wa 1500,mawazo hayawezi kupanuka maana unaishi a fake and cheap life, in mean time utamaliza chuo utaanza kusota.... Hivi unadhani kula good time kwa hela inayoondoka bila replacement ni dili sana? Try the streets boy.... Soma vitabu ujue jins ya kuwekeza excess money kijana, kama ni chuo watu wamesoma sio wewe kipindi hiki cha digitali hata kisoma hamsomi vizuri mnazima tu moto... Wakina Grant cardone, Robert Kiyosaki, Masiyiwa na wengine wanavitabu vya maana vichwa maji kama nyie msome.
ZoomChuo gani kina course work ya 70?
Naona bampa to bampa!!
nimesoma ardhi kipindi hicho inaitwa UCLA's...cjawah kuona somo ambalo halina mitihani...ARU ,kule baadhi ya masomo hayana mtihani
Course work70% halafu mwisho wa semester kunakuwa na presentation mbele ya wakufunzi wanakuuliza maswali kadri unavyopatia ndivyo unapewa marks ambazo kwa ujumla zina contribute 30%
..haha nimekusoma jombaa bsc.archtecture eng au cyooo mm nipo mzumbe Bsc.in POM. karibuuu 2nd yearEngineering Drawing (somo)
Course work 70 halafu final 30%
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Zoom