Maisha ya chuo

Dah natamani sana nirudi chuo nikafaidi na mie maana sikufaidi enzi hizo nikiwa domo ,ege.

Jamani kuna kozi gani ya bei nafuu naweza soma chu japo niwe naranda randa tuu campus naona warembo
nenda ifm redio au cbe college ukasome procure au human resource.

šŸ“ŒHuko hata uwe kilaza vipi lazima ufaulu.Nikutakie kila la heri katika uchakataji bora wa vitoto vya afu 2005 plusšŸ¤
 
Maisha ya chuo.

Ulichokumbuka kusimulia ni ngono tuu.
wakati Ulaya na Amerekani college au Uni student anatumia muda wa ziada kujishughukisha na kazi mbili tatu kutengeneza kipato.

Wasomi wa African mda huo ni muda wa kuzurura kwenye mabaa,mahoteli na kufanya UMALAYA.

šŸ“ŒšŸ“ŒUAFRICA NI LAANA!!!
 
Dah natamani sana nirudi chuo nikafaidi na mie maana sikufaidi enzi hizo nikiwa domo ,ege.

Jamani kuna kozi gani ya bei nafuu naweza soma chu japo niwe naranda randa tuu campus naona warembo
Yani ukasome kisa upate mbususu za chuo? Hamia kigamboni utazimenyua sana ukitaka. Pisi za afu mbili zimejazana kwa mafungu mafungu.
 
Mkuu, unafurahia kusimulia habari za uzinzi!!
Hujasoma Waebrania 13:4?
...Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…