Maisha ya chuo

Maisha ya chuo

Si wengi wanakua wamebanwa kwa muda mrefu huku wakiaminishwa kama wanataka hayo mambo basi watayakuta chuo so wanapoingia chuo ni kama wamefunguliwa kwahiyo, kwahiyo ukimfuata akiona unafaa kuliwa anakukula ingawa kwa akili za vijana wa kiumbe huwa wanadhani wao ndio wamekula, ila in reality wao ndio waliwao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Wanawake wako very smart kwenye eneo hili, na utofauti wetu ni kwamba sisi tunatamani kwa kuona na ukishaona na kutamani basi unatongoza ila wanawake huwa hawawezi kutongoza kwahiyo akikupenda anakutega ili umtamani na umtongoze akakukule(au tusiseme kukukula, tuseme akakutumie[emoji1787][emoji1787]).

Kwahiyo kinachotokea hapo mwanamume ataona daah yule mwanamke nimemla kimasihala ila in reality yeye ndio ameliwa kimasihara.

Na hii ndio hutokea kwa mabinti wengi wa chuo, ukiona ni mrahisi ujue ni amependa kukujaribu aone ladha yako coz wengi huwa hawako serious kwenye mapenzi na badala yake huwa wanajaribu jaribu tu kama mfanyavyo vijana wa kiume.

Kwahiyo vyuoni wamejaa maplay boy na maplay girl. [emoji28][emoji28][emoji28]
We jidanganye tu wanabanwa watoto wa siku hizi michezo wanainza mapema. [emoji23]
 
Inaendelea..


Baada ya wiki hivi ndio nilikutana na reggy kwa miadi palepale pa jana tukakutana. Tukaongea pale na nilimpa sharti moja tu. Kupima vvu na kuhama, kuanzia chuo, mkoa, kozi akasomee teaching kwa sabb alifanya Sayansi na pale alikuwa akisomea kozi ya sayansi niliamini akapata ualimu chap kwa masomo ya sayansi.

Reggy alinijibu palepale. Yuko tayari hata kuanzia hapohapo. Huyu dem kweli bana alitafuta chuo na akahama. Nikawa nasafiri kwa mke mdogo. Regina kwa sasa yupo nchini Canada kama lecturer lugha ya kiswahili.

Shani alikuja akatoa mimba zangu. Ndio nilivuoona hafai, kuna siku alikwenda kutoa mimba wakati sikukutana naye miez mitatu. Kwanza ilikuwa hivi. Nilisafiri kama miezi minne nikawa ule mwez wa tatu nilikuja bongo one time. Ile nikutane nae, akadai anaumwa, kutokana nanfani yangu akadai yuko MP nikasema okay, sasa nikaona dalili sio mp nikamtime nikachukua damu kwenda nayo maabara, kupima ina dalili zote za mimba.

Alivyogundua kosa lake alikata mguu, nikiwa nimerejea nikamfata kwao, mapokezi yalikuwa ya ajabu sana. Mmh nikaa pembeni nikalambwa matusi na mama mkwe mamaake mdg. Nikaona sio kesi nikasepa.

Shani akapata mshkaji ana asili ya kwao. Basi nikawa mpole. Hawakudumu sana, eti shani akarudi kwangu. Duh nikasema hii balaa sasa kwa sababu nijikaza kiutu uzima nikaona kama imejileta yenyewe kwanini niiache, nikaifunua, ivi kumbe kurma zinaota sugu aisee nilishangaa sana..yaani imepigwa nikajiona kumbe mimi cha mtoto kuna watu wanavyuma.

Nae sikukaa naye muda mrefu nikamkataa. Hadi leo ananitafuta. Anataka anipe mzigo nakimbia
ii
Mwisho
Mmmh hii chai kabsa hiw
 
Ujinga mtu hata uingo huwezi kutunga,eti alikuwa anasoma,sayansi sa hivi anafundisha kiswahili,sio bure una msongo wa mawazo wewe
 
Story Inaweza kua Nzuri ila Usimuliaji Ukawa Hamna!! Wakati mwingine Jitahidi Upangilie Visa Mkuu.
 
Back
Top Bottom