Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata iwe kama kiniti sawaNgoja iwe kama utambi
Mbona wee unasoma mambo ya uzinzi sii uyakimbieMkuu, unafurahia kusimulia habari za uzinzi!!
Hujasoma Waebrania 13:4?
...Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.
Ngono ndio raha ya chuo bwana...maana vibinti vipo katika prime experimental age so hapo vgataka jaribu kila kituVyuoni ngono inachukua asilimia kubwa mno kuliko masomo.
Nchi masikini vyuo ni kama vyuo
AhahahaNgono ndio raha ya chuo bwana...maana vibinti vipo katika prime experimental age so hapo vgataka jaribu kila kitu
Au we ndiye Shani mbona unakubali haraka harakaSawa
Kuna gonoreaIv chuo napo Kuna gono??
Hahahahahaha duuu umejua kunichekesha weyeKwa kifupi shani akisimama anakuwa kama reptilia
Kiniti ndio nnHata iwe kama kiniti sawa
NikimtiKiniti ndio nn
Ahahahahb safiiiiiKuna gonorea
Hii sio utani, kama kuna mtu mke wake ameenda kujiendeleza kielimu baada ya kufanya kazi, huko chuo anapigwa miti, hata wanaume ambao wameoa wameacha wake zao mikoani wamekuja kusoma chuo, huku chuo wameopoa vitoto vidogo vya 2000 wanavipiga miti, ninaongea hivi ninashuhudia hivi vitu kwa classmates zangu, nipo chuo mwaka wa piliMKEO KAMA ANASOMA CHUO JUA NI ANAPIGWA BAKOLA NA WALIMU WAKE MIXER BY VITOTO VYA CHUO MKEO NI CHAKULA CHUO
AibuHii sio utani, kama kuna mtu mke wake ameenda kujiendeleza kielimu baada ya kufanya kazi, huko chuo anapigwa miti, hata wanaume ambao wameoa wameacha wake zao mikoani wamekuja kusoma chuo, huku chuo wameopoa vitoto vidogo vya 2000 wanavipiga miti, ninaongea hivi ninashuhudia hivi vitu kwa classmates zangu, nipo chuo mwaka wa pili
Haya ya mambo tunayoyaona kwa wenzetu wanandoa possibly ndio yatakayotutokea sisi ambao tunatarajia kufunga ndoa, Mungu atusaidie tuAibu
Yule jamaa uliyeishi naye chuo alipotelea wapi ?Sawa
Hio kozi unakuta wanaume watano wanawake 20 ndio inakufaa kiongoziHii akili. Asante sana. Wapi pazuri kusomea hiyo kozi?
Kila la heri . Utuletee degree hapo kijijini kwetu buswelu sio HIV uanze kuumiza wananzego na watendaji kataNgoja mwaka huu niende nami nikajionee uhalisia