Hapana nasubiria jibu piaMkuu nijulishe kama unalifahamu!
Kuna maneno mtu kama hauyafamu waeza onekana Mshamba!Hapana nasubiria jibu pia
Hahaha huddah hawez jibu dm,kumpata demu kama yule labda umtafute ukiwa na kazi maalumuMimi nilikuwa simfahamu demu mmoja wa Kenya anaitwa Huddah..
Sasa nikiwa naperuzi inst nikaona picha za demu mkali anapost, nikamfollow nikacheck picha zake aisee demu yupo bomba kichizi, nika m dm akajibu fresh kwa kuwa alikua alikuwa demu mkali akaniambia nipo wapi nikafake ili nimpate nikamjibu nipe State, akaniuliza wapi huko ni mkoa gani, dah nikasema mbona demu kama mkali halafu mjanja hajui State ni wapi, nikamwambia nipo Unyamwezi akaniambia kumbe wewe upo Tabora, akaniambia nisimsumbue tena, dah nikamwambia hapana nipo Unitee State Of America (Marekani) akajichekesha akaniambia utarudi lini nikamjibu kesho kutwa akaniambia nikirudi nimletee zawadi ya Iphone 5 nikamwambia poa,
Sasa kuja kudadisi nikaja nikangundua yule pimbi alikuwa anatumia picha za Huddah wa kenya, siku nimemwambia nipo bongo tukutane, akaniambia tukutane cocobeach, nilipo enda kumwona demu mwenye coco dah..
Hahaa nakubali Mzee mwenznguAisee ule mtandao balaa sana, ila msitishike na mapichapicha hayo wengi wao hata siyo maisha yao halisi.
Kule nenda kutoa stress tu basis
Ahaha Asante Huu ni Motto wangu, umenifanya nimejifunza Mengi!
Ahaha Asante Huu ni Motto wangu, umenifanya nimejifunza Mengi!
Welcome, mwenyewe i was in love with your Hospitality last Night!Nimeupenda!
Welcome, mwenyewe i was in love with your Hospitality last Night!
mtu mwenye asili kutoka nchi fulani anayeishi na kufanya mambo yake nchi nyingine mfano Mtanzania anayeishi marekani au walowezi kwa tafsiri rahisiHili neno diaspora lina maana gani Mkuu?
Asante Mkuu, umenitoa ujinga!, bbade tumewekewa Majibu tayari!mtu mwenye asili kutoka nchi fulani anayeishi na kufanya mambo yake nchi nyingine mfano Mtanzania anayeishi marekani au walowezi kwa tafsiri rahisi
Nitafanya ustaarabu wa kukutafuta![emoji120][emoji120][emoji120]
Huyo Huddah mim nilikuwa simfahamu hata kwa sura ila demu alikuwa akizidownload picha za huddah na kuzipostHahaha huddah hawez jibu dm,kumpata demu kama yule labda umtafute ukiwa na kazi maalumu
fanya kazi wewe acha porojoKule bado watoto kwa JF.
He he he e e ,Diva the bawse ndo fake kabisa
Ukimuona insta utamtamani,lakini ukimuona live kama bundi vilee!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wenzako ndio wanapigwagwa ivyo ivyoMimi nilikuwa simfahamu demu mmoja wa Kenya anaitwa Huddah..
Sasa nikiwa naperuzi inst nikaona picha za demu mkali anapost, nikamfollow nikacheck picha zake aisee demu yupo bomba kichizi, nika m dm akajibu fresh kwa kuwa alikua alikuwa demu mkali akaniambia nipo wapi nikafake ili nimpate nikamjibu nipe State, akaniuliza wapi huko ni mkoa gani, dah nikasema mbona demu kama mkali halafu mjanja hajui State ni wapi, nikamwambia nipo Unyamwezi akaniambia kumbe wewe upo Tabora, akaniambia nisimsumbue tena, dah nikamwambia hapana nipo Unitee State Of America (Marekani) akajichekesha akaniambia utarudi lini nikamjibu kesho kutwa akaniambia nikirudi nimletee zawadi ya Iphone 5 nikamwambia poa,
Sasa kuja kudadisi nikaja nikangundua yule pimbi alikuwa anatumia picha za Huddah wa kenya, siku nimemwambia nipo bongo tukutane, akaniambia tukutane cocobeach, nilipo enda kumwona demu mwenye coco dah..
Kuna mama yangu mmoja hata la7 hajamaliza na ninajua ni mburula + kilaza= bashite ila post zake zooote ni za kingerez maana ata kuandikaga hajuiKama mie nilivyo humu JF aiseee ni mdada/mmama wa kitajiri sana najua kizungu balaa
Ila maisha halisi utanikimbia kwa kushangaa ndo huyu jina kubwa JF