Maisha ya Instagram ni ya uongo kinoma

Maisha ya Instagram ni ya uongo kinoma

Mimi nilikuwa simfahamu demu mmoja wa Kenya anaitwa Huddah..

Sasa nikiwa naperuzi inst nikaona picha za demu mkali anapost, nikamfollow nikacheck picha zake aisee demu yupo bomba kichizi, nika m dm akajibu fresh kwa kuwa alikua alikuwa demu mkali akaniambia nipo wapi nikafake ili nimpate nikamjibu nipe State, akaniuliza wapi huko ni mkoa gani, dah nikasema mbona demu kama mkali halafu mjanja hajui State ni wapi, nikamwambia nipo Unyamwezi akaniambia kumbe wewe upo Tabora, akaniambia nisimsumbue tena, dah nikamwambia hapana nipo Unitee State Of America (Marekani) akajichekesha akaniambia utarudi lini nikamjibu kesho kutwa akaniambia nikirudi nimletee zawadi ya Iphone 5 nikamwambia poa,

Sasa kuja kudadisi nikaja nikangundua yule pimbi alikuwa anatumia picha za Huddah wa kenya, siku nimemwambia nipo bongo tukutane, akaniambia tukutane cocobeach, nilipo enda kumwona demu mwenye coco dah..
Hahaha huddah hawez jibu dm,kumpata demu kama yule labda umtafute ukiwa na kazi maalumu
 
Aisee ule mtandao balaa sana, ila msitishike na mapichapicha hayo wengi wao hata siyo maisha yao halisi.
Kule nenda kutoa stress tu basis
Hahaa nakubali Mzee mwenzngu
 
mtu mwenye asili kutoka nchi fulani anayeishi na kufanya mambo yake nchi nyingine mfano Mtanzania anayeishi marekani au walowezi kwa tafsiri rahisi
Asante Mkuu, umenitoa ujinga!, bbade tumewekewa Majibu tayari!
 
Mimi mwenyewe nashangaaga pesa za bata na mavazi kila siku wanatoa wapi...?
 
Mimi nilikuwa simfahamu demu mmoja wa Kenya anaitwa Huddah..

Sasa nikiwa naperuzi inst nikaona picha za demu mkali anapost, nikamfollow nikacheck picha zake aisee demu yupo bomba kichizi, nika m dm akajibu fresh kwa kuwa alikua alikuwa demu mkali akaniambia nipo wapi nikafake ili nimpate nikamjibu nipe State, akaniuliza wapi huko ni mkoa gani, dah nikasema mbona demu kama mkali halafu mjanja hajui State ni wapi, nikamwambia nipo Unyamwezi akaniambia kumbe wewe upo Tabora, akaniambia nisimsumbue tena, dah nikamwambia hapana nipo Unitee State Of America (Marekani) akajichekesha akaniambia utarudi lini nikamjibu kesho kutwa akaniambia nikirudi nimletee zawadi ya Iphone 5 nikamwambia poa,

Sasa kuja kudadisi nikaja nikangundua yule pimbi alikuwa anatumia picha za Huddah wa kenya, siku nimemwambia nipo bongo tukutane, akaniambia tukutane cocobeach, nilipo enda kumwona demu mwenye coco dah..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wenzako ndio wanapigwagwa ivyo ivyo
 
Kama mie nilivyo humu JF aiseee ni mdada/mmama wa kitajiri sana najua kizungu balaa

Ila maisha halisi utanikimbia kwa kushangaa ndo huyu jina kubwa JF
Kuna mama yangu mmoja hata la7 hajamaliza na ninajua ni mburula + kilaza= bashite ila post zake zooote ni za kingerez maana ata kuandikaga hajui
 
Back
Top Bottom