Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,323
- 10,813
Wakuu bila shaka mpo poah!
Leo nimeamua kufunguka kitu ninachojiamini nacho humu JF ambacho nawashinda watu wote.
Katika jambo hili nimeshindikana, mimi ni championea ambaye kwa sasa sina mshindani. 😉😉😉
Sasa jambo ambalo Mimi wote humu hamuniwezi, nimeshindikana nalo ni moja, nalo ni KUZAMA PM ZA WADADA.
Hakuna ID humu inayojitambulisha kama jinsia ya kike ambayo sijaizama PM. Kuna vidada mshenzi vimejifanya vime-block pm zao ili Mhuni nisingie lakini nimeandika barua Kwenye UONGOZI wa JF kuwa wanipe ridhaa ya kuingia katika Pm za hao members. Nitaiweka hiyo barua hapa siku zijazo.
Mimi ndiye naongoza kuingia PM za wadada humu, Mzee wa PM, Tongoza Tongoza, Penda penda, hayo nimewazidi.
Kama kuna Mdada humu sijazama PM yake ajiulize mara mbili mbili, huenda sio mzuri na hana lolote.
Je wewe humu JF, nani kakuzidi nini, Na wewe unauhakika umetuzidi Nini?
Funguka
Bikra Matter's
Leo nimeamua kufunguka kitu ninachojiamini nacho humu JF ambacho nawashinda watu wote.
Katika jambo hili nimeshindikana, mimi ni championea ambaye kwa sasa sina mshindani. 😉😉😉
Najua wapo walionizidi pesa humu, Kiduku Lilo🙂🙂 Huyu ni tajiri wa JF,anamiliki Financial intitutionea yake hapa nchini. Huyu ndiye mdhamini wa chama kilichoshinda uchaguzi uliopita.
Najua wapo walionizidi akili na elimu humu, Da'Vinci😀😀 Huyu anajifanya ati anatoa nyuzi za kigriti thinker😀😀 bila shaka Google wameshampa kazi. Huyu atajifanya mjukuu wa Tesla, kila kitu anakijua.
Najua wapo walionizidi ushabiki maandazi , USSR 🤣🤣 Ati anajifanya mtu wa Sytem na mwanaccm lia lia. Huyu utamzidi kila kitu lakini sio katika kupika maandazi yalioungua ya ushabiki mavi.
Najua wapo walionizidi Uchawi, Uganga, na uganguzi, Mshana Jr😇😇 Huyu ni mzee wa mizizi na mzee wa zongomeza. Huyu mutu anaconnection za Sangoma bara na visiwani. Ameshindikana kwenye jamhuri
Najua wapo walionizidi humu Kupost, Johnthebaptist, huyu keshashindikana hata mods hawamuwezi tena.
Najua wapo walionizidi udini wa kihistoria, Mohammed SAID, Huyu mzee kila historia lazima ahusishe udini, Mara Kilimanjaro ile barafu iliwekwa na Sheikh Baruani Syke, mara ile minazi ilipandwa na wanafunzi wa Madrasa mwaka 1890
Najua wapo walionizidi kwa matumaini hewa humu, Salary Slip, huyu kila awamu amewashinda watu humu kwa kuwa na matumaini hewa kuwa CHADEMA itashika utawala
Najua wapo walionizidi humu kwa kukana uwepo wa Mungu, Kiranga, huyu kwa kusoma vijitabu upuuzi na mitandaoni kahitimisha hakuna mungu, huyu utabishana naye mpaka kortini
Najua wapo walionizidi humu kutoka Nduki, Miss Zomboko, huyu akitoa uzia au habari anatoka nduki, mbio zake sio za nchi hii, hutoa habari bila kukoment
Najua wapo walionizidi humu kuwatetea wanawake hata wafanye nini, Karma, huyu tumeshapiganaga sana hasa kwenye mada za bikra na ndoa.
Sasa jambo ambalo Mimi wote humu hamuniwezi, nimeshindikana nalo ni moja, nalo ni KUZAMA PM ZA WADADA.
Hakuna ID humu inayojitambulisha kama jinsia ya kike ambayo sijaizama PM. Kuna vidada mshenzi vimejifanya vime-block pm zao ili Mhuni nisingie lakini nimeandika barua Kwenye UONGOZI wa JF kuwa wanipe ridhaa ya kuingia katika Pm za hao members. Nitaiweka hiyo barua hapa siku zijazo.
Mimi ndiye naongoza kuingia PM za wadada humu, Mzee wa PM, Tongoza Tongoza, Penda penda, hayo nimewazidi.
Kama kuna Mdada humu sijazama PM yake ajiulize mara mbili mbili, huenda sio mzuri na hana lolote.
Je wewe humu JF, nani kakuzidi nini, Na wewe unauhakika umetuzidi Nini?
Funguka
Bikra Matter's