Maisha ya JF, Nani kakuzidi nini? Nawe umetuzidi nini?

Maisha ya JF, Nani kakuzidi nini? Nawe umetuzidi nini?

Wakuu bila shaka mpo poah!

Leo nimeamua kufunguka kitu ninachojiamini nacho humu JF ambacho nawashinda watu wote.
Katika jambo hili nimeshindikana, mimi ni championea ambaye kwa sasa sina mshindani. ๐Ÿ˜‰๐Ÿ˜‰๐Ÿ˜‰











Sasa jambo ambalo Mimi wote humu hamuniwezi, nimeshindikana nalo ni moja, nalo ni KUZAMA PM ZA WADADA.
Hakuna ID humu inayojitambulisha kama jinsia ya kike ambayo sijaizama PM. Kuna vidada mshenzi vimejifanya vime-block pm zao ili Mhuni nisingie lakini nimeandika barua Kwenye UONGOZI wa JF kuwa wanipe ridhaa ya kuingia katika Pm za hao members. Nitaiweka hiyo barua hapa siku zijazo.

Mimi ndiye naongoza kuingia PM za wadada humu, Mzee wa PM, Tongoza Tongoza, Penda penda, hayo nimewazidi.
Kama kuna Mdada humu sijazama PM yake ajiulize mara mbili mbili, huenda sio mzuri na hana lolote.

Je wewe humu JF, nani kakuzidi nini, Na wewe unauhakika umetuzidi Nini?
Funguka

Bikra Matter's
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama kuna mdada humu sijazama PM yake, ajiulize mara mbili mbili, huenda siyo mzuri na hana lolote..!

'Nimeumia sana..!' ๐Ÿ˜•
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Usiumie sana, mie nakuja kukufuata PM kwako. Jiandae nataka twende pamoja katika mtoko wa usiku tukapate chakula cha usiku na kupiga stori mbili tatu za maisha. Bills zote on me (food, drinks, transport).

Nothing really, just two strangers having dinner together na kupiga stori. Saa nne usiku nakurudisha kwako.
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Usiumie sana, mie nakuja kukufuata PM kwako. Jiandae nataka twende pamoja katika mtoko wa usiku tukapate chakula cha usiku na kupiga stori mbili tatu za maisha. Bills zote on me (food, transport).
Haha..
Unataka yanikute ya 'sasa utakula nini kama hujaja na hela mpenzi wangu'.?? Mimi siyo phaller'..!
 
Haha..
Unataka yanikute ya 'sasa utakula nini kama hujaja na hela mpenzi wangu'.?? Mimi siyo phaller'..!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ aki nimecheka kinyama.

Nikikuambia jiandae kwa mtoko basi ujue mie i pick the place (a decent restaurant) na pia bills (food, drinks, transport) zote nitalipa mie.

ila mdada akinishtukiza hapo inabidi ajilipie bills zake mwenyewe, nitamsaidia ya transport tu ili awahi akakule ugali nyumbani kwake.

kama ni Drinks, atakunywa maji akifika kwake huko.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ aki nimecheka kinyama.

Nikikuambia jiandae kwa mtoko basi ujue mie i pick the place (a decent restaurant) na pia bills (food, drinks, transport) zote nitalipa mie.

ila mdada akikushtukiza hapo inabidi ajilipie bills zake mwenyewe, nitamsaidia ya transport tu ili awahi akakule ugali nyumbani kwake.
Kwani ugali si ndiyo kitu nakulaga kila siku..?? Usinitishe, wooiii.!! Kwanza chips na vyuku wa broiler siyo wazuri kiafya..!!
 
Kwani ugali si ndiyo kitu nakulaga kila siku..?? Usinitishe, wooiii.!! Kwanza chips na vyuku wa broiler siyo wazuri kiafya..!!
Ugali ya nyumbani inanoga sana. Na nakusindikiza mpaka kwako na nakula ugali yako pia.๐Ÿ˜…

Siagizi fried chicken with some French fries.
Bali mie naagiza Ugali Kubwa with Marinated Grilled Beef.

ila siku hizi hata ugali (mahindi) nao umepigwa madawa mengi huko shambani na pia mbegu za mahindi (ugali) nazo baadhi ni genetically modified organism (GMO)
 
Ugali ya nyumbani inanoga sana. Na nakusindikiza mpaka kwako na nakula ugali wako pia.๐Ÿ˜…

Siagizi fried chicken with some French fries.
Bali mie naagiza Ugali Kubwa with Marinated Grilled Beef.

ila siku hizi hata ugali nao uko na madawa toka shambani, mbegu za mahindi nazo baadhi ni genetically modified organism (GMO)
Kazi tunayo hatuna pa kupumzikia kwa huu mtindo wetu wa maisha wa sasa, anyway check you later buddy..!!
 
Kazi tunayo hatuna pa kupumzikia kwa huu mtindo wetu wa maisha wa sasa, anyway check you later buddy..!!
Poa poa buddy!! Broiler ni GMO na baadhi ya mahindi (ugali) nayo ni GMO (genetically modified organism)

Na vyote (mahindi & kuku-broiler) vinakuzwa kwa madawa ma-chemical, japo broiler kazidi madawa.
 
Back
Top Bottom