Kuwa na wake wengi officially si jambo dogo mzee, hao watakao kuja watakuwa na vimada ila wanajifariji kuwa ni wake zao.Subri wenye wake wengi waje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na wake wengi officially si jambo dogo mzee, hao watakao kuja watakuwa na vimada ila wanajifariji kuwa ni wake zao.Subri wenye wake wengi waje
For the first time 2019 nafungua Acc JF nilikua sielewi elewi basi nikawa na'PM Wanawake humu, kitu ambacho Nimekichukua kweli, najiona Nilikua Mpumbavu Sana aaarrgghh [emoji3][emoji3][emoji3]
Walijaribu nikawaambia gwaride la utambuzi lililonitambua lilikuwa na makosa kisheria.Wewe hata kortini umeshindikana
Weka screen shot za PM mbili tu za wadada kuniaminisha, nikupe msururu wangu, mdada ambaye atasema hajawahi kuniona PM yake ujue ni mgeni au anajishaua tu 😎Wakuu bila shaka mpo poah!
Leo nimeamua kufunguka kitu ninachojiamini nacho humu JF ambacho nawashinda watu wote.
Katika jambo hili nimeshindikana, mimi ni championea ambaye kwa sasa sina mshindani. 😉😉😉
Sasa jambo ambalo Mimi wote humu hamuniwezi, nimeshindikana nalo ni moja, nalo ni KUZAMA PM ZA WADADA.
Hakuna ID humu inayojitambulisha kama jinsia ya kike ambayo sijaizama PM. Kuna vidada mshenzi vimejifanya vime-block pm zao ili Mhuni nisingie lakini nimeandika barua Kwenye UONGOZI wa JF kuwa wanipe ridhaa ya kuingia katika Pm za hao members. Nitaiweka hiyo barua hapa siku zijazo.
Mimi ndiye naongoza kuingia PM za wadada humu, Mzee wa PM, Tongoza Tongoza, Penda penda, hayo nimewazidi.
Kama kuna Mdada humu sijazama PM yake ajiulize mara mbili mbili, huenda sio mzuri na hana lolote.
Je wewe humu JF, nani kakuzidi nini, Na wewe unauhakika umetuzidi Nini?
Funguka
Bikra Matter's
Twende kazi mzee baba acha porojoMkuu unataka battle? 🤣 🤣 🤣
Unajua nikianza humu hakuna wa kuzima
Sitaki kuamini. Nataka kujua.Kwa hiyo wewe huamini umeumbwa?
Nakuja kukufariji.Kama kuna mdada humu sijazama PM yake, ajiulize mara mbili mbili, huenda siyo mzuri na hana lolote..!
'Nimeumia sana..!' 😕
Kuna vya kuamini na kuna vya kujua boss.
Anyway, hutaki kujua Mungu Yupo?
Nimewazidi kumiliki ukimya kwenye nyuzi za watuwewe umewazidi nini atii?