Maisha ya JF, Nani kakuzidi nini? Nawe umetuzidi nini?

For the first time 2019 nafungua Acc JF nilikua sielewi elewi basi nikawa na'PM Wanawake humu, kitu ambacho Nimekichukua kweli, najiona Nilikua Mpumbavu Sana aaarrgghh [emoji3][emoji3][emoji3]

Usinikumbushe, Mimi nimetongoza wote humu, huwa wananidere tuu na kunivungia


Ugeni ni ushamba asee 🤣 🤣 🤣
 
Kuwa na wake wengi officially si jambo dogo mzee, hao watakao kuja watakuwa na vimada ila wanajifariji kuwa ni wake zao.

Unatambo mkuu.
Ni kweli, mimi kwa hilo sikuwezi
 
Hahahahhahah hawa mods ni hatarii sikuizi wanakula vichwa we acha tuu sijui wanataka kubaki pekayao
Hivi unamkumbuka
truthone alitukana jf akala ban moja matata kisa mods wamemuuzi aaa

Mods achana nao, nimeingia hadi PM zao
 
Weka screen shot za PM mbili tu za wadada kuniaminisha, nikupe msururu wangu, mdada ambaye atasema hajawahi kuniona PM yake ujue ni mgeni au anajishaua tu 😎
 
Weka screen shot za PM mbili tu za wadada kuniaminisha, nikupe msururu wangu, mdada ambaye atasema hajawahi kuniona PM yake ujue ni mgeni au anajishaua tu 😎

Mkuu unataka battle? 🤣 🤣 🤣

Unajua nikianza humu hakuna wa kuzima
 
Kuna vya kuamini na kuna vya kujua boss.

Anyway, hutaki kujua Mungu Yupo?

Nishakwambia sitaki kuamini, nataka kujua. Unanilazimisha?

Swali lako linatokana na nini?

Kipi kimekupa na kuhalalisha swali hilo?

Bei ya nyama ya nguruwe China leo ni Yuan ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…