Nyie mtavunja na sheria za MaxenceMelo sasa.Weka screen shot za PM mbili tu za wadada kuniaminisha, nikupe msururu wangu, mdada ambaye atasema hajawahi kuniona PM yake ujue ni mgeni au anajishaua tu π
π π πKama kuna mdada humu sijazama PM yake, ajiulize mara mbili mbili, huenda siyo mzuri na hana lolote..!
'Nimeumia sana..!' π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu bila shaka mpo poah!
Leo nimeamua kufunguka kitu ninachojiamini nacho humu JF ambacho nawashinda watu wote.
Katika jambo hili nimeshindikana, mimi ni championea ambaye kwa sasa sina mshindani. πππ
Sasa jambo ambalo Mimi wote humu hamuniwezi, nimeshindikana nalo ni moja, nalo ni KUZAMA PM ZA WADADA.
Hakuna ID humu inayojitambulisha kama jinsia ya kike ambayo sijaizama PM. Kuna vidada mshenzi vimejifanya vime-block pm zao ili Mhuni nisingie lakini nimeandika barua Kwenye UONGOZI wa JF kuwa wanipe ridhaa ya kuingia katika Pm za hao members. Nitaiweka hiyo barua hapa siku zijazo.
Mimi ndiye naongoza kuingia PM za wadada humu, Mzee wa PM, Tongoza Tongoza, Penda penda, hayo nimewazidi.
Kama kuna Mdada humu sijazama PM yake ajiulize mara mbili mbili, huenda sio mzuri na hana lolote.
Je wewe humu JF, nani kakuzidi nini, Na wewe unauhakika umetuzidi Nini?
Funguka
Bikra Matter's
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama kuna mdada humu sijazama PM yake, ajiulize mara mbili mbili, huenda siyo mzuri na hana lolote..!
'Nimeumia sana..!' π
Dola 100 nitazitoa wapi usawa huu wa Msukuma mwenzio mwenye roho chafu huyu. Labda huko kwenu Wall Street [emoji38][emoji38]Nakudai dola 100 za Kimarekani.
Nimesajili jina langu TRA, anayelitaja bure hiyo ndiyo faini yake.Dola 100 nitazitoa wapi usawa huu wa Msukuma mwenzio mwenye roho chafu huyu. Labda huko kwenu Wall Street [emoji38][emoji38]
Watu tumecheza muziki wa OPP, nini DPP.Hatukuogopi DPP yupo
π π π π Usiumie sana, mie nakuja kukufuata PM kwako. Jiandae nataka twende pamoja katika mtoko wa usiku tukapate chakula cha usiku na kupiga stori mbili tatu za maisha. Bills zote on me (food, drinks, transport).Kama kuna mdada humu sijazama PM yake, ajiulize mara mbili mbili, huenda siyo mzuri na hana lolote..!
'Nimeumia sana..!' π
Haha..π π π π Usiumie sana, mie nakuja kukufuata PM kwako. Jiandae nataka twende pamoja katika mtoko wa usiku tukapate chakula cha usiku na kupiga stori mbili tatu za maisha. Bills zote on me (food, transport).
ππππ aki nimecheka kinyama.Haha..
Unataka yanikute ya 'sasa utakula nini kama hujaja na hela mpenzi wangu'.?? Mimi siyo phaller'..!
Kwani ugali si ndiyo kitu nakulaga kila siku..?? Usinitishe, wooiii.!! Kwanza chips na vyuku wa broiler siyo wazuri kiafya..!!ππππ aki nimecheka kinyama.
Nikikuambia jiandae kwa mtoko basi ujue mie i pick the place (a decent restaurant) na pia bills (food, drinks, transport) zote nitalipa mie.
ila mdada akikushtukiza hapo inabidi ajilipie bills zake mwenyewe, nitamsaidia ya transport tu ili awahi akakule ugali nyumbani kwake.
Ugali ya nyumbani inanoga sana. Na nakusindikiza mpaka kwako na nakula ugali yako pia.πKwani ugali si ndiyo kitu nakulaga kila siku..?? Usinitishe, wooiii.!! Kwanza chips na vyuku wa broiler siyo wazuri kiafya..!!
Kazi tunayo hatuna pa kupumzikia kwa huu mtindo wetu wa maisha wa sasa, anyway check you later buddy..!!Ugali ya nyumbani inanoga sana. Na nakusindikiza mpaka kwako na nakula ugali wako pia.π
Siagizi fried chicken with some French fries.
Bali mie naagiza Ugali Kubwa with Marinated Grilled Beef.
ila siku hizi hata ugali nao uko na madawa toka shambani, mbegu za mahindi nazo baadhi ni genetically modified organism (GMO)
Poa poa buddy!! Broiler ni GMO na baadhi ya mahindi (ugali) nayo ni GMO (genetically modified organism)Kazi tunayo hatuna pa kupumzikia kwa huu mtindo wetu wa maisha wa sasa, anyway check you later buddy..!!