Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Vijana wakubet na Kamari wenyewe Hawa Cha kujishughulisha Tena na kufanya kazi. Atashinda Ndani Masaa 24 ni kula, kubet Kamari.
Wenye Kazi nao, wamejikuta hawana Juhudi Tena ya kazi zao,kazi wanafanya tu ilimradi.
Serikali ya Ovyo nayo inajisifu, Et Kamari imetengeneza Ajira asilimia.
Taifa linazidi Kudidimia, Taifa linaenda kua na Kizazi ambacho Ubongo wake haunguki, kizazi Cha wasopenda kazi, wavivu wazembe, wenye kupenda Hela ila hawapendi kazi.
Yaani Taifa ambalo Baba ni Mbetishaji, Mama Mbetishaji, watoto Kamari.
Wenye Kazi nao, wamejikuta hawana Juhudi Tena ya kazi zao,kazi wanafanya tu ilimradi.
Serikali ya Ovyo nayo inajisifu, Et Kamari imetengeneza Ajira asilimia.
Taifa linazidi Kudidimia, Taifa linaenda kua na Kizazi ambacho Ubongo wake haunguki, kizazi Cha wasopenda kazi, wavivu wazembe, wenye kupenda Hela ila hawapendi kazi.
Yaani Taifa ambalo Baba ni Mbetishaji, Mama Mbetishaji, watoto Kamari.