Maisha ya Maslay Queen

Slay queens mnaitwaa huku, kuna jambo lenu lol [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tafuta wa level yako mkuu
 
Tafuta wa level yako mkuu

nawakunyuga sana .!
ila nashangaa kuona maisha yao tu !,
tambua mpaka leo sijawahi kuwa na familia kwa mtindo huu na changamoto
 
hawana akili hao, hawajui kuna kuzeeka? wakatumia pesa kwa nidhamu?

wanazani uzee ukianza kugonga hodi kuna wa kuwahonga tena?. Hata salamu tu ile ya kuambiwa mambooo, itabakia historia.

Kama hawaamini wakamuulize wema sepetu.
 
Ukiwa muigizaji zile "........Mengi ni kaka yangu Bakheresa ni mjomba wangu....." utawala vizuri.
 
of course mashalobalo wa kuigiza maisha na kuazima magari ya watu, wanawatafuna mpaka vinyeo, yani ni wanaliwa haswa.
 
hii bongo ukiwa na jina kubwa ni adhabu.kwa mwanamke utakazwa sana hata wa kiume usipoangalia utakazwa pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…